Shida zisikie tu kwa mwenzako. SIO POA!

Shida zisikie tu kwa mwenzako. SIO POA!

Niliwahi kupitia shida na matatizo, nilijihisi kama sina maana ya kuwepo hapa Duniani.

Nilidhihakiwa kisa sina chochote, wengine walitumia kama fimbo kunichapa nayo. Namshukuru Mungu kwa hatua niliyonayo maana bila changamoto zile nisingekuwa vile nilivyo leo.

Usichoke kupambana na kumuomba Mungu kaka, siku yako yaja.
 
Niliwahi kupitia shida na matatizo, nilijihisi kama sina maana ya kuwepo hapa Duniani.

Nilidhihakiwa kisa sina chochote, wengine walitumia kama fimbo kunichapa nayo. Namshukuru Mungu kwa hatua niliyonayo maana bila changamoto zile nisingekuwa vile nilivyo leo.

Usichoke kupambana na kumuomba Mungu kaka, siku yako yaja.
Dah sio poa!!
 
Back
Top Bottom