elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Usione aibu when pursuing your dreams hata kama umezeeka.Libaba lizima halioni hata aibu
Aibu ya nn, elimu haina mwishoLibaba lizima halioni hata aibu
Kwani unamlipia ada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kubwa zima hovyo
Hapo akisapu nitacheka kweli
Umemwambia kaukweli.Anaweza akasapu masomo lkn kmaisha ameshakuacha mbali sanaaa,he study for leisure wakati ww unawaza ajira kila unapopewa assignment.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alipewa maji anyweHivi ile kesi yake ya kuwadai CCM iliishiaga wapi?
Mmmhh,, huna akili simbilisi wewe! Yaani kusoma napo ni aibu? Hata Mimi nilienda degree nikiwa Mkubwa lakini hata hivyo nili-enjoy.Libaba lizima halioni hata aibu
Kubwa zima hovyo
Hapo akisapu nitacheka kweli
[emoji1] [emoji1] [emoji23]Libaba lizima halioni hata aibu
mambo mchumba[emoji1] [emoji1] [emoji23]
Jitazame kwenye kioo. Una tatizo sehemu. Niamini mimi.Libaba lizima halioni hata aibu
Hivi mkuu wewe hujadisco bado??[emoji53][emoji53][emoji53]Libaba lizima halioni hata aibu
Chief wabongo wengi wana kwinyo sana, hawapendi kuona mtu anafanikiwa lazima wabonge shit.Unamchukia mtu amekuzidi pesa, umri, exposure, PR, influence inakusaidia nini?, nakumbuka issue ya Bakhresa na kudaiwa kodi mwishoni mwa 2015, watu walishangilia mpaka unajiuliza wanafanana nn na huyo unamtakia mabaya. Ni kama huyo Shigongo ana biashara zake, kaajiri wengi pengine hata wewe aweza kukuajiri unambeza tena pengine hata kibanda huna
presentation na kukaa vibaya ! ulikuwa unasoma dondoo kwenye mapaja au kwenye chupi yake ?Kusoma na watu wazima kuna changamoto
Nakumbuka kuna mama mmoja tulisoma nae degree wakat wengi class tupo early 20’s yeye ana miaka 48....sasa siku moja nafanya presentation mbele ya class yeye akawa kakaa vibaya nilipata wakat mgumu sana kwakweli