Shigongo ajiunga Chuo Kikuu kuanza Shahada ya kwanza..

Shigongo ajiunga Chuo Kikuu kuanza Shahada ya kwanza..

Libaba lizima halioni hata aibu
Mmmhh,, huna akili simbilisi wewe! Yaani kusoma napo ni aibu? Hata Mimi nilienda degree nikiwa Mkubwa lakini hata hivyo nili-enjoy.
 
ud kuna mzee yuko mechanical dah yule mzee hua anadisco sana alafu anaomba upya tena,,,ameshadisco zaidi ya mara tatu wadau wa coet wanamjua nilimkuta nikamuacha yan kuna mda alijitahidi kuvuka first yr kwenda second alifurahi kinoma hakuamin ingawa safar ikaishia hapo hapo second yr

yule mzee ana ndoto hiko tu ndo nnachomkubali hakati tamaa
kila mtu ana ndoto zake hamna wa kumpangia mwenzie
 
Mtu ana drive Vogue alafu anaenda kulilia mkopo? Huko si ni kubemenda pesa za wanafunzi masikini!
 
...ushamba, ulimbukeni na ujinga ni ndugu mapacha. sizani kama kulikuwa na sababu ya kutangaza eti anaenda kuanza first year. inashangaza kwa kweli
 
Unamchukia mtu amekuzidi pesa, umri, exposure, PR, influence inakusaidia nini?, nakumbuka issue ya Bakhresa na kudaiwa kodi mwishoni mwa 2015, watu walishangilia mpaka unajiuliza wanafanana nn na huyo unamtakia mabaya. Ni kama huyo Shigongo ana biashara zake, kaajiri wengi pengine hata wewe aweza kukuajiri unambeza tena pengine hata kibanda huna
Chief wabongo wengi wana kwinyo sana, hawapendi kuona mtu anafanikiwa lazima wabonge shit.
 
ANASOMA DEGREE APATE UTEUZI WA UDC, SI UNAJUA TENA MKULU HATEUI DC BILA DEGREE
 
Kusoma na watu wazima kuna changamoto


Nakumbuka kuna mama mmoja tulisoma nae degree wakat wengi class tupo early 20’s yeye ana miaka 48....sasa siku moja nafanya presentation mbele ya class yeye akawa kakaa vibaya nilipata wakat mgumu sana kwakweli
presentation na kukaa vibaya ! ulikuwa unasoma dondoo kwenye mapaja au kwenye chupi yake ?
 
Back
Top Bottom