Shigongo ajiunga Chuo Kikuu kuanza Shahada ya kwanza..

Am pretty sure uneenda shule mkuu
Hao wanaoshangaa ni form 4 leavers tu shule za kata
nadhani shule za kata hazina vilaza wa kiwango hicho !! wengi wanajua umuhimu wa elimu na kwao umri hauzuii mtu kutafuta maarifa mapya !!
 
Hivi semina za Eric.... watu hufundishwa na mtu ambaye taaluma yake ikoje?
 
Najaribu kuvuta picha kwa umri alionao anasoma ili iweje umri wa kustaafu ni miaka 60 yeye saiv atakua around 50 aje kumaliza walau master atakua around 60.me naona huyu anasomea kustaafu au kurefusha historia ya marehemu.
 
Anaweza akasapu masomo lkn kmaisha ameshakuacha mbali sanaaa,he study for leisure wakati ww unawaza ajira kila unapopewa assignment.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi unajua kupambanua mambo? Mtu unayesema amefanikiwa kimaisha angeenda bodi ya mikopo kugombea mkopo na yatima asiye na chochote? Hilo linanithibitishia kwamba Erick Shigongo ni maskini mkubwa irrespective of his possessions.
 
Najaribu kuvuta picha kwa umri alionao anasoma ili iweje umri wa kustaafu ni miaka 60 yeye saiv atakua around 50 aje kumaliza walau master atakua around 60.me naona huyu anasomea kustaafu au kurefusha historia ya marehemu.
Sio kila anayesoma anataka ajira yeye ni mwandishi wa habari wa magazeti kuna sheria ya habari mswada uko njiani unataka kuwa mwandishi awe na digriii.Shigongo kajielewa kawahi
 
Elimu ni haina mwisho mkuu...ndio maana after PhD watu wanaendelea na postgraduate courses
 
We unayejua kuandika umeandika kitabu gani
 
Watu wanatukana na kumkejeli Shigongo[emoji23][emoji23]

Wivu kitu kibaya sana, roho mbaya noma sana.

Shigongo hata asiposoma hiyo degree yeye kashatusua kwa kiasi kikubwa, hasomi kwa njaa kama wengine tulivyosoma.

Hongera yake Mungu amsaidie aongeze CV
 
Huyu azuiwe mara moja,elimu yake ya udaku na umbea kupitia magazeti yake inatosha maana akipata hiyo degree atahamia kwenye kutunga Vitini kama Nyambari Nyangwine nadhani wote tuu mashuhuda ya athari za Vitini vya Nyambari kwa Wanafunzi wetu wa Msingi na Secondary.
 
Teh azuiwe kusoma sio?[emoji2]
 
Najaribu kuvuta picha kwa umri alionao anasoma ili iweje umri wa kustaafu ni miaka 60 yeye saiv atakua around 50 aje kumaliza walau master atakua around 60.me naona huyu anasomea kustaafu au kurefusha historia ya marehemu.
Nasikia eti huwa anafundisha ujasiliamali, ujasiliamali na degree za vyuo wapi na wapi, huyu nae ni opportunist tu, kwanza anaenda kusoma course gani?
 
Hee comment yangu imeeditiwaa!!!!?? Aliyeedit si angenipa na like hapo
Elimu haina umri. Shingongo kimaendeleo yupo mbali sana hio degree anahitaji tu kuongeza cheti kabatini na heshima mitaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…