kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,672
- 3,055
nadhani shule za kata hazina vilaza wa kiwango hicho !! wengi wanajua umuhimu wa elimu na kwao umri hauzuii mtu kutafuta maarifa mapya !!Am pretty sure uneenda shule mkuu
Hao wanaoshangaa ni form 4 leavers tu shule za kata