Shigongo aliwazidije clauds mapene hadi akawa juu zaidi yao

Shigongo aliwazidije clauds mapene hadi akawa juu zaidi yao

Hao waduduinzaji wataanzaje sasa kwa gwajima wakati hata mtemi chenge hawamufikii
Kwahiyo Gwajima nae ni tajiri wa watu wakae serious kumuongelea? Huyo anayefanya biashara ya kukombe sadaka na kutakatisha fedha chafu..

Ebu nitajie notable tajiri mwenye kampuni/biashara inayoeleweka ambaye hata google nitampata sio vitajiri vya uchochoroni.

Chenge ni mwizi huwezi kumtaja kama tajiri?
 
Shigongo ni Msukuma na wasukuma ndio wanaongoza kwa kumiliki mapesa Tanzania..
Nadhani swali analouliza amezipataje pesa? Yaani wasukuma ni sheedah!! Huyu ni wa Mwanza au Shinyanga?
 
Hivi wasukuma mna tajiri gani ambaye ni notable hapa Tanzania?

Wachaga wana Mengi, Shirima wa Precision, Ernest Massawe wa Swala Energy..

Wahaya wana Ali Mafuruki, Rweyemamu wa Escrow, Karamagi..

Sasa nyie wasukuma mna nani ambaye anatambulika hapa Tanzania?
Wasukuma ndio wana ruhusu akina Mengi, Massawe etc etc waendelee kuwa matajiri but not for long. Matajiri wanabwaga manyanga sasa hivi. Msukuma Noma!

Msitambie vitu visivyo na maana.
 
Jaman hivi huyu mtoto wa mwanza shigongo aliwapikuje hawa watoto wa mujin clauds had akawazidi pesa na akawa juu zaidi yao na kuanza kushusha maghorofa makubwa mujin mwanza na dar

Alifanikiwa vp kunufaika kimuziki na kuwapiku clauds wakati hawa jamaa walikuwa juu zaid yake na team yao ni kubwa zaidi yake wao ni wengi yeye ni mmoja kawazidi vp huyu jamaa

Naomben kuwasilisha
Huyu ndio Yule anayeandika novels? Sidhani kama zinalipa kihivyo. Pengine Ana investments nyingine legal and mostly illegal.
 
Wasukuma ndio wana ruhusu akina Mengi, Massawe etc etc waendelee kuwa matajiri but not for long. Matajiri wanabwaga manyanga sasa hivi. Msukuma Noma!

Msitambie vitu visivyo na maana.
Nyie level zenu wamakonde na wanyamwezi.. Hata siku moja msukuma hawezi kushindana na Mchaga wala Mhaya na Mnyakyusa..
 
Jaman hivi huyu mtoto wa mwanza shigongo aliwapikuje hawa watoto wa mujin clauds had akawazidi pesa na akawa juu zaidi yao na kuanza kushusha maghorofa makubwa mujin mwanza na dar

Alifanikiwa vp kunufaika kimuziki na kuwapiku clauds wakati hawa jamaa walikuwa juu zaid yake na team yao ni kubwa zaidi yake wao ni wengi yeye ni mmoja kawazidi vp huyu jamaa

Naomben kuwasilisha
Naona ameshawaboa, sasa mnataka kumlipua.
 
Haya ni majungu na ndio maana Watanzania badala ya kujifunza Kwa wenzetu na Ku implement tunabaki vijiweni kusifia wenye nazo na hata kujidai kushindanisha assets zao eg nyumba, magari etc. Huu ni ujinga
 
Nyie level zenu wamakonde na wanyamwezi.. Hata siku moja msukuma hawezi kushindana na Mchaga wala Mhaya na Mnyakyusa..
Hivyo hamjawahi kujiuliza kwanini Nyerere aliwaweka nyuma wasukuma? Na kwanini mkurya akamuweka jeshini?
 
Back
Top Bottom