Shigongo aliwazidije clauds mapene hadi akawa juu zaidi yao

Shigongo aliwazidije clauds mapene hadi akawa juu zaidi yao

Aisee wasukuma level yao si ya nchii hii hao ni watu tofaut kabisa huwez linganisha na nyie wachaga na wahaya na wanyakusa, hayo makabila yenu yalibahatika kupata pesa za wizi selikalin saiv yamebanwa yanahaha kinoma

Nitajie wahaya watano wanaomiliki hata sem au bus japo mbili mbili na unitajie hao wanyakuswa wanaomiliki japo ghorofa nyota tano nchii nami nikutajie wasukuma vibaba kwanza hakuna mhaya wa bus wa kwenda mwanza au mnyakusa wa bus kutoka mbeya mwanza wote ni wasukuma
Kwa wachaga umenoa wee huwajui akina meridian ngorika kidia haon ni wachache tu ninao weza kuwapa mikono achilia mbali anika maiko ngaleku (yuke alieanzisha biashara ya dala dala za angan ) wewe
 
Huyu jamaaa leo simuelewi kabisa, yeye amekazania matajiri wa kijijini kwao, hivi kila mtu akitaka aanze kusifia na kutaja matajiri wa kwao si itakua balaa
 
Hivi wasukuma mna tajiri gani ambaye ni notable hapa Tanzania?

Wachaga wana Mengi, Shirima wa Precision, Ernest Massawe wa Swala Energy..

Wahaya wana Ali Mafuruki, Rweyemamu wa Escrow, Karamagi..

Sasa nyie wasukuma mna nani ambaye anatambulika hapa Tanzania?
wata kwambia eti ni bashite ndo tajir yao
 
Jaman hivi huyu mtoto wa mwanza shigongo aliwapikuje hawa watoto wa mujin clauds had akawazidi pesa na akawa juu zaidi yao na kuanza kushusha maghorofa makubwa mujin mwanza na dar

Alifanikiwa vp kunufaika kimuziki na kuwapiku clauds wakati hawa jamaa walikuwa juu zaid yake na team yao ni kubwa zaidi yake wao ni wengi yeye ni mmoja kawazidi vp huyu jamaa

Naomben kuwasilisha
Shigongo gazeti za udaku ndo zilimbeba... Sasa hivi hali ni tete watu wamehamia mitandaoni
 
Back
Top Bottom