johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Eric Shigongo amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha uamuzi wake wa kuzuia misaada kwa nchi za Afrika, kwa sababu akifanya hivyo Waafrika wengi watapoteza maisha.
Akiwa nchini Marekani kikazi, Shigongo amesema misaada ya Marekani kwa nchi za Kiafrika, inasaidia kwa kiasi kikubwa kukabiliana na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiafya kwa nchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania.
Soma Pia: Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika
Shigongo ni Mwandishi wa vitabu kama Yeriko Nyerere wa Chadema
Mlale Unono 😀
Akiwa nchini Marekani kikazi, Shigongo amesema misaada ya Marekani kwa nchi za Kiafrika, inasaidia kwa kiasi kikubwa kukabiliana na changamoto mbalimbali zikiwemo za kiafya kwa nchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania.
Soma Pia: Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika
Shigongo ni Mwandishi wa vitabu kama Yeriko Nyerere wa Chadema
Mlale Unono 😀