Debwadebwa
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 204
- 278
Wewe utakuwa mgeni bongo,hivi kuna msanii bongo anaetoza show zake kiingilio kikubwa bongo kama Diamond?Pamoja na Diamond kuvuma sana, hawezi fanya shoo ya kiingilio kikubwa watu wakaingia hapa Bongo.Ni mzuri lakini hatoi mzuka sana kwa watu waliomzoea.
Hakumaanisha atoze 3000 au 5000 mkuu...hata fiesta show kubwa hawawezi kuweka bei hiyo...jaribu kufikiria ukumpa D milioni 100...mlangoni utachaji shilingi ngapi?Were ndo umejibu kimuhemko
Hivi unadhani Diamond akifanya show za kiingilio cha 3000 au 5000
Huko nje Nani atakubali kutoa dola 75,000 kumlipa iyo pesa?
Diamond ndo msanii ghali zaidi East Africa maana yake hata uko nje wakimtaka wakicheki profile lake lazima wajipange
Wewe nae hebu kwenda huko!yaani afanye show kiingilio 3000 halafu utegemee Mpopo ampe mil200?!Natamani uzi huu DIAMOND (yeye kama yeye mwenyewe asome na si watu wake wa karibu) ausome.
Kuna maneno yamesemwa umu yanaweza kumpa maisha mengine zaid ya haya sasa hv ambayo anayo.
Home kwanza
Loyal Fans kwanza
Die hard fans kwanza
Local Promoters kwanza
Kumbi za ndani na majukwaa ya ndan kwanza
Tciao.!
Watu wanaongea kiushabiki tu....eti 3000 au 5000...!!Eric hakumaanisha kumshusha hadhi D....ila facts kwa kutazama hali halisi...unapokuwa too expensive hata home washabiki wako wa nyumbani wale wa Tandale na Mbagala hawawezi kutoa 50000 getini Mlimani Cty.....lakini haimaanishi kiingilio kiwe buku tano...bali kiwe considerate...Sisi watu wa Entertainment we know how to maneuver ayo mambo. There's two approach ya Entertainmet i.e Domestic and International.
Mind in yo head...promota wa ndani ndie anayekufungulia njia na kujua chocho zote,he brands u like no one biznes...international Promoters are there for always said 'events' and endorsements.
Players know their games son.!!
Naona wewe ni wa upande ule!!Nyie mnaodai mziki umekua na Diamond yupo sawa,mnaweza lipia hata kiingilio cha elfu 50000 kwenye as diamond?
Kumbe 25000 mi nilidhani ile 3000 ulosema...teh teh...that is justifiable.....lakini kama hiyo party ukiandaa wewe halafu D akataka dola 55000 huwezi tena kufanya entrance 25000.Wewe utakuwa mgeni bongo,hivi kuna msanii bongo anaetoza show zake kiingilio kikubwa bongo kama Diamond?
Diamond are forever mlimani city kiingilio 50,000 alijaza
Zari white party mlimani city kiingilio kilikuwa 50,000 , 100,000 na milioni 1,000,000 alijaza mpaka wengine walibaki nje
Wasafi beach party 25,000 jagwani sea breeze palitapuka
Nenda kafanye research uje kuniambia kama kuna msanii anaweza na kujaribu kufanya izo
Wewe itakuwa mgeni kwenye haya mambo ya burudani!!halafu huyo Eric tunampa za uso kwasababu ni mnafiki tu kama wanafiki wengine!!Diamond ni mara ngapi amefanya show kiingilio ni buku teni tu 10000?!Watu wanaongea kiushabiki tu....eti 3000 au 5000...!!Eric hakumaanisha kumshusha hadhi D....ila facts kwa kutazama hali halisi...unapokuwa too expensive hata home washabiki wako wa nyumbani wale wa Tandale na Mbagala hawawezi kutoa 50000 getini Mlimani Cty.....lakini haimaanishi kiingilio kiwe buku tano...bali kiwe considerate...
Melvine waeleze.
Wanaweza wanampa ndo maana mwaka Jana aliipwa zaidi milioni 200 na vodacom akafanya show UDOM bure na mabibo hostel Udsm bure kabisa ,Hakumaanisha atoze 3000 au 5000 mkuu...hata fiesta show kubwa hawawezi kuweka bei hiyo...jaribu kufikiria ukumpa D milioni 100...mlangoni utachaji shilingi ngapi?
Eric got a point...tuwache ubishi usio na tija.
Kwa maana hiyo shows za D hapa Bongo labda ziwe za charity laa sivyo watu wa hali duni hawatoweza kuingia..
Ulichokisema hapo ndicho alikigusia Eric...alisema show za makampuni ya simu wataweza kumpa hiyo pesa dola 55,000 hapa ndani...mtu binafsi inakuwa mtihani....hiyo ya uwanja wa samora ya buku kumi km ilikuwa ameandaa mwenyewe sio jambo la ajabu...lkn ingekuwa mtu binafsi ingekuwa tofauti.Wanaweza wanampa ndo maana mwaka Jana aliipwa zaidi milioni 200 na vodacom akafanya show UDOM bure na mabibo hostel Udsm bure kabisa ,
Akafanya wasafi beach party jangwani kiingilio kilikuwa 25000.
Shingongo akitaka kupata faida anamlipa diamond hiyo pesa then show anaipeleka uwanja wa taifa then kiingilia anaweka 10000 uone kama ujakusanya mamilioni ya pesa
Mfano mwaka Jana alifanya wasafi festival iringa pale Samora stadium kwa kiingilio cha 10000 tu alijaza ule uwanja na akakusanya zaidi ya milioni 150
Unafanya na unapata faida kubwa vizuriKumbe 25000 mi nilidhani ile 3000 ulosema...teh teh...that is justifiable.....lakini kama hiyo party ukiandaa wewe halafu D akataka dola 55000 huwezi tena kufanya entrance 25000.
Poa poa mkuu.Unafanya na unapata faida kubwa vizuri
Mfano ukimpa hiyo pesa diamond then ukaifanyia leaders club unapata faida kubwa tu
Tatizo shigongo anataka show ifanyikie kwenye ukumbi wake Darlive alafu aweke kiingili cha 15000, watu watajaa na hapata tosha ule ukumbi ni mdogo ukizingatia idadi ya watu wa kule na kipato chao
Nishakwenda ukooooo...too much emotions...Wewe nae hebu kwenda huko!yaani afanye show kiingilio 3000 halafu utegemee Mpopo ampe mil200?!
Kwahiyo Manfongo anayefanya show ya mil2 basi kenya atafanya ya mil30?!bogus kabisa
Usipothaminiwa kwenu hakuna mgeni atakayekuthamini.
Sisi tunaoelewa kiswahili tukilipa 3000 unategemea mzungu asiyeelewa atalipa 100000?!
Unataka kuniambia akina Davido kule kwao hawafanyi shoo?Mkuu hivi chibu akianza kufanya show za 5000 hapa bongo hivi Nani unadhani atatoa pesa ndefu akafanye show Nigeria au Zimbabwe
Shigongo ana hoja wajameni! Hata kama mtamnyonga lakini apewe haki yake!Natamani uzi huu DIAMOND (yeye kama yeye mwenyewe asome na si watu wake wa karibu) ausome.
Kuna maneno yamesemwa umu yanaweza kumpa maisha mengine zaid ya haya sasa hv ambayo anayo.
Home kwanza
Loyal Fans kwanza
Die hard fans kwanza
Local Promoters kwanza
Kumbi za ndani na majukwaa ya ndan kwanza
Tciao.!
Siyo kweli. Unaweza kufanya shoo home na nje ukalipwa vizuri. Kwani hao mapromota wa nje hawajui kama una kwenu? Unataka kusema Diamond katookea wapi mpaka kupata shoo za nje? S Mwembe Yanga hiyohiyo!Shigongo anakosea sana kama umeshindwa bei wapo wanaoweza. Hata kina wizkid ndio kinachowabeba within Nigeria huwezi kukuta wizkidayo kaenda kupiga show mwembeyanga ya promota anayebeep
Hata miaka 2 haijaisha mmeshasahau viingilio vya Zari All White Party ?Mjinga gani hapa Bongo alipie show ya diamond kiingilio cha 100000?
Diamond atafanya Show hata kwa Tsh 500 au BURE Lakini show hizo ataziandaa mwenyewe, hawezi kufanya show za Tsh 500 tena zimeandaliwa na mtu anaitwa Shigongo. Wasanii wameshakuwa wajanja jamani na wanagharamika sana kuandaa kazi zao jamani wapeni muda na wao wa relax - UNYONYAJI MPAKA LINI, Kama vipi na SHIGONGO na wewe anzisha label umiliki wasanii ili uwatumikishe uwezavyoWewe nae hebu kwenda huko!yaani afanye show kiingilio 3000 halafu utegemee Mpopo ampe mil200?!
Kwahiyo Manfongo anayefanya show ya mil2 basi kenya atafanya ya mil30?!bogus kabisa
Usipothaminiwa kwenu hakuna mgeni atakayekuthamini.
Sisi tunaoelewa kiswahili tukilipa 3000 unategemea mzungu asiyeelewa atalipa 100000?!
Kwanini hiyo show ya 3,000 lazima iandaliwe na shigongo na siyo WCB Wasafi au SK Entertainment ??Watu wanaongea kiushabiki tu....eti 3000 au 5000...!!Eric hakumaanisha kumshusha hadhi D....ila facts kwa kutazama hali halisi...unapokuwa too expensive hata home washabiki wako wa nyumbani wale wa Tandale na Mbagala hawawezi kutoa 50000 getini Mlimani Cty.....lakini haimaanishi kiingilio kiwe buku tano...bali kiwe considerate...
Melvine waeleze.