Shoga twende hapo basi tukaombe kazi hata ya uhausigeri tu
aston martin hii gari nimezoea kuiona kwenye tv na moviez tu.
Ila hapa bongo bado.
Sasa sijui hio huwa inaendeshwa kwa matukio. Sijawahi kuiona barabarani.
Lakini kumbuka,"kutesa kwa zamu"
kwenye gari zote hapo nimeona Range tu......dah gari tamu hilo....
kwenye gari zote hapo nimeona Range tu......dah gari tamu hilo....
dah ila Mungu yupo one day YES
Jaman hebu muiten Ney aje kuonyesha mjumba wake na mgari wake. Hizi tabia za kupigapiga picha vijumba vyenu mnaona mmemuudhi kaka bakharesa?
Hhhhaaa jamani wekeni na ya Mengi
Kwa hiyo hapo ndio nyumbani kwake? Au watu wanaishi jamaniii
Apo kwa watoo kwake simpo tuu
kwenye gari zote hapo nimeona Range tu......dah gari tamu hilo....
Shikamoo...