Shikamoo Azam

Shikamoo Azam

Utakuta wafanya kazi wake baadhii wana dhiki sana, kweli tajiri kufika mbinguni ni sawa na ngamia kupenya ktk tundu la sindano.
Wewe acha maneno fanya kazi kwa bidii.
 
mdada angalia hiyo brabus vizuri ndo urudi tena

Nahisi iko brabus mpaka uwe mpenzi wa magari ndio utauona uzuri wake, ila kwa machoni kama halinogi vile...
 
Bakhresa naye kajiunga instagram au facebook au??? Maana picha kama hizi ni adimu sana kuzipata
 
Nahisi iko brabus mpaka uwe mpenzi wa magari ndio utauona uzuri wake, ila kwa machoni kama halinogi vile...

Umeona eeee yaan hapo mi nimeona lenye muundo wa harrier ndio zuri
 
ulitaka walipwe sh ngapi elimu yenyewe la saba

Hao unaowaita la saba ndio wanaomtajirisha Bakhresa,pia hata huyo Bakhresa ndio elimu yake hiyo unayoidharau,hao darasa la saba pia wanaenda choo kama wale wenye elimu zao,na wana mahitaji kama hao wenye elimu zao,8000 kitu gani kwa mtu anaye toil na kukufanya ukae kwenye kiyoyozi.
 
Hao unaowaita la saba ndio wanaomtajirisha Bakhresa,pia hata huyo Bakhresa ndio elimu yake hiyo unayoidharau,hao darasa la saba pia wanaenda choo kama wale wenye elimu zao,na wana mahitaji kama hao wenye elimu zao,8000 kitu gani kwa mtu anaye toil na kukufanya ukae kwenye kiyoyozi.

mkuu naona unabishana na mfumo dunian kote mtu analipwa kutokana na kiwango cha elimu yake km wanaona 8000 haiwatoshi waache kazi wakawe wajasiriamali hta hyo bakheresa angeamua kuwafanyia kazi watu wengine mpk leo angekuwa maskini...... kwa hyo ni suala la uamuzi km utaamua kumfanyia kazi umtajirishe mtu au ufanye shughulo zako mwenyewe utajirike
 
Back
Top Bottom