Shikamoo biashara

Biashara inahitaji watu wagumu na mabahili ,kuna mda inafika ata kula inabidi usile ili biashara iendelee

Raha ya biashara uijue kiundani wekeza muda wako mwingi pale ...datss waajiriwa wengi walio na biashara wanafail hapo wanatamani yale maokoto yanayopatikana bila kujua kuwa waliowaajiri wanafaidi sana nguvu zao bila wao kujua maana wanambinu zote za kuiba na aasikamatwe na mabosi zao..unakuta boss hajui chochote katika biashara yake anafungua hardware hajui kifaa hata kimoja ..anafungua saloon hajui kusuka..anafungua stationery hajui matumizi ya photocopy mashine wala computer.. msaidizi asipokuwepo shughuli zote zinasimama maana boss hana analololijua na hajawekeza muda wake katika biashara utaletewa hesabu za hovyo unajikuta mtaji umepukutika ..kwa hapo lazima upigwe na ulizwe
 
Mda,wasimamizi,kukosa uzoefu,washauri,umbali,timing,buy cheap ni baadhi TU ya factor zilizonikwamisha
Alafu kingine boss usipokuwa makini unajikuta huendani na bei za sokoni..eidha unauza bei chini zaidi au ya juu zaidi wateja wakakimbia msaidizi hana muda huo kufatilia anachojar ni maokoto...biashara ni kama mtoto inahitaji ukaribu ..uipende na uitumikie kwa kuwekza muda wako utajua muelekeo wake nn uboreshe zaidi ili kuhakikisha biashara inasimama na kukua,bado unayo nafasi simama jipange upya fanyia marekebisho hizo changamoto utatoboa
 
Tuambie ni kwa namna gani uliweza kusimama tena mkuu... ili na sisi tujifunze
 
Duuh.. Unanitisha mkuu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ