Shikamoo biashara

Fafanua mkuu, haswa hapo kwenye Bold
Kidogo niko bize sana currently muda wa kuandika kwa mapana sipati.

Ila chukulia mfano unaanza biashara ya usafirishaji wa mizigo kwa kutumia Fuso, target yako unakuta ni kuanza na Fuso 3. Ili biashara yako isiyumbe inatakiwa ununue Fuso walau 5 au 6 ili ikitokea mbili zimekula mweleka unakuwa na zingine kama Back Up and the like.
 

Jitahidi kuwa mfanyabiashara wa kati/jumla[emoji1417]
 
Sasa hawa wadada wa mitandaoni mbona wanatoboa sana na wanafanya biashara ionekane rahisi? Ma range wanayanunua kama baiskeli, mijumba wanajenga ya ukweli sana. Kila siku kushusha ma container, Kuna siri ambayo wanayo na sisi hatuijui? Mimi pia na struggle sana kusimama kwenye biashara but wenzetu wanapasua tu😳😳 anaeijua siri tupeane plz
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ilikuwa biashara gani Mkuu.
 
Na sasa hivi naona wamejaa Instagram, china pa kugusa, Dubai kila mara.

Wamewezaje? [emoji2957]
 
Mkuu, nilijipiga 2023 kufika Nov nina Mil 3 ya mzigo nikatafuta na hela ya fremu nikalipa 3/6 miezi, nikampa fundi fenicha nusu aniandalie fremu, watu wa decorations na mabango, etc.. nikaingia mzigoni.. aisee..
1..Don't put all your eggs into one bucket....kwasababu kapu likidondoka unevunja mayai yote....kwenye biashara usiokuwa na uzoefu nayo huwa tunaanza kwa kutest mitambo kwanza.

2...ukiona hapaeleweki unatafuta plan nyengine,utakuwa umepoteza nusu na nusu nyengine umesave
 
Binti ukiona anafanya biashara sio wa kushindana naye! Kwanza kodi ya pango ni chupi! Mtaji ni chupi! Hawanaga mahesabu zaidi ya kukuelekeza kwenye 'V' ya mapaja yake ukitaka kudai kodi! Wanaofanya biashara za piga/ua/komaa ni wanaume!
Uko sahih kbsaa
 
Hii itakuwa ile mega.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu maisha na biashara huwa sio za kuzishii Kupitia tunavyoona mitandaoni!! Ukija kwenye uhalisia vitu ni tofauti kabisaa na hayo unayoyaona kwenye social network!! Ya Kule tazama halafu kapambane kulingina na uhalisia ya mazingira uliyopo wala wala yasikuchanganye uhisi umechelewa kwenye maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…