The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
AiseeeeMimi Hadi Sasa nimechoma zaidi ya milioni mia tatu na sijatoboa hapa hata buku Sina.
Bora ningeziwekezea kwenye zipu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeMimi Hadi Sasa nimechoma zaidi ya milioni mia tatu na sijatoboa hapa hata buku Sina.
Bora ningeziwekezea kwenye zipu.
KwakweliPoa Kwanza Huko Mbele Usisite Ku-inspire Wengine Wajivunze.😂
Mda,wasimamizi,kukosa uzoefu,washauri,umbali,timing,buy cheap ni baadhi TU ya factor zilizonikwamishaPole mkuu ila kuna mahali unakosea.
HahahahahahaaaKuna mmoja alifungua goli la chips hapa kitaa basi ndani ya 2 weeks Jamaa shavu dodo,kitambi kama chote na goli likafa,kumbe alikuwa anakula inventories.
Kuna jamaa alianza na bus daladala chakavu....nje ya mji....baada ya kutumbuliwa...akaamua kukaa golini mwenyewe..kukusanya nauli....Leo amekopeshwa TATA jipyaaa...kawapa vijana wanaleta hesabu....yeye bado yupo na la zamani...nyumba yake kaifanyia finishing utadhani ni kwa waziri...na ana ki IST cha kwendea chachi.Tatizo ni aina ya biashara
InategemeaNa hasa ukianza biashara umri umekwenda.
Unanunua vitu kwa bei ya jumla ili uuze rejareja! Unakaa huoni hata mtu wa kuulizia bei! Daadeki!Wakuu
Wale mliofanikiwa kuanzisha biashara zenu na zimedumu mpaka sasa SHIKAMOONI WAKUBWA. Hili game sio la kitoto for beginners.
Baada ya kutumbuliwa ....Kuna jamaa alianza na bus daladala chakavu....nje ya mji....baada ya kutumbuliwa...akaamua kukaa golini mwenyewe..kukusanya nauli....Leo amekopeshwa TATA jipyaaa...kawapa vijana wanaleta hesabu....yeye bado yupo na la zamani...nyumba yake kaifanyia finishing utadhani ni kwa waziri...na ana ki IST cha kwendea chachi.
HUYU BWASHEE NI DARASA TOSHA.
Weka lamama tujifunzeUkiwa lelemama una surrender mara ya kwanza tu ukianguka... Lakini ukiwa mstahimilvu utanyanyuka Tena na Tena na mambo yakasonga..., Ningeweka mfano wangu hapa Ila wacha nimalize kwanza kuugulia maumivu🥲😂
Kuna jamaa kakodi frame mbezi mwisho frame ya laki 4 kwa mwezi (4,800,000 kwa mwaka). Sasa angalia bidhaa anazouza ni maua ya plastic kayajaza na vikorombwezo vya sikukuu za kuzaliwa na harusi! Sasa biashara ya aina hii inaweza hata kurudisha kodi ya mwezi/siku?Ukute ni kontena la miti ya Xmas ndo limeingia Feb hii 🤓 Xmas ishapita, na nyingine bado iko mbali
BadoBaada ya kutumbuliwa ....
Leo kakopeshwa TATA....
Mkopo kamaliza?
Hapo bado ni mtumwaBado
Shida wana uwa wanakurupuka sana yaani akishika chenji yeye yumo kwenye bussiness tayari .Kuna jamaa kakodi frame mbezi mwisho frame ya laki 4 kwa mwezi (4,800,000 kwa mwaka). Sasa angalia bidhaa anazouza ni maua ya plastic kayajaza na vikorombwezo vya sikukuu za kuzaliwa na harusi! Sasa biashara ya aina hii inaweza hata kurudisha kodi ya mwezi/siku?
Kwa mtazamoHapo bado ni mtumwa
Na uhalisiaKwa mtazamo
Duuh ni hatariKuna jamaa kakodi frame mbezi mwisho frame ya laki 4 kwa mwezi (4,800,000 kwa mwaka). Sasa angalia bidhaa anazouza ni maua ya plastic kayajaza na vikorombwezo vya sikukuu za kuzaliwa na harusi! Sasa biashara ya aina hii inaweza hata kurudisha kodi ya mwezi/siku?
Hapo somo kuu ni 'BIASHARA CHANGA SIMAMIA MWENYEWE'Kuna jamaa alianza na bus daladala chakavu....nje ya mji....baada ya kutumbuliwa...akaamua kukaa golini mwenyewe..kukusanya nauli....Leo amekopeshwa TATA jipyaaa...kawapa vijana wanaleta hesabu....yeye bado yupo na la zamani...nyumba yake kaifanyia finishing utadhani ni kwa waziri...na ana ki IST cha kwendea chachi.
HUYU BWASHEE NI DARASA TOSHA.