Shikamoo biashara

Shikamoo biashara

Majuzi nilimtembelea rafiki yangu mmoja, amenunua mashine ya kudarizi 30m, nilimkuta anaweka nembo kwenye mashati 30, lakini malipo aliyopata ni shilingi 60,000/=; kwa mazingira hayo kama huna nidhamu ya pesa, unaweza kuhisi hiyo milioni 30 aliyowekeza kwenye mashine imepotea.
Khaaa hii biasharaa ngumu sanaaaa...
 
Sasa hawa wadada wa mitandaoni mbona wanatoboa sana na wanafanya biashara ionekane rahisi? Ma range wanayanunua kama baiskeli, mijumba wanajenga ya ukweli sana. Kila siku kushusha ma container, Kuna siri ambayo wanayo na sisi hatuijui? Mimi pia na struggle sana kusimama kwenye biashara but wenzetu wanapasua tu😳😳 anaeijua siri tupeane plz
Mwanangu kamwe usiyachukulie serious mafanikio ya mwanamke. Wanawake wengi tena wanaoheshimika mjini huwa wakienda Dubai au China ile wiki ya kwanza ni kufanya umalaya... mwanamke akienda na dola 5000 China au Dubai anaweza kurudi na mzigo wa dola 15000. Kuna watu wengi wanagongewa wake zao bila kujua. Kina dada wa mitandaoni wapuuze.
 
Biashara ni fumbo, huwezi kujua kama mteja atatokea magharibi, mashariki,kaskazini au kusini. Unasubiri tu pesa ambayo hujui itatokea wapi! Ndio maana wajanja wamejikita kwenye ulimwengu wa roho. Sana sana onana na waliofanikiwa kibiashara wakupe siri japo sio rahisi.
 
Back
Top Bottom