Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,061
Wahenga wanasema mtu husifiwa kwa kile akitendacho siyo ajuacho. Katika mtanange wa leo kati ya Simba Vs Kagera Sugar Mzee Mwenye Lindo Juma Nyoso ameonyesha kiwango cha juu sana.
Ilikuwa kama kuna ligi ndogo kati ya John Raphael Bocco na Juma Nyoso.
Hakika huyu mwamba leo amenikosha sana ukiacha kwamba aliwahi kucheza Simba amekuwa msaada mkubwa kwa Kagera na ameokoa hatari nyingi.
Awali niliwahi kupata taarifa kwamba mshikaji amepotea kwenye game halafu anakula ndumu vibaya lakini kwa leo moyo wangu umefurahi kuona jembe langu unakipiga vizuri na afya iko poa.
YANGA WANGEKUWA NA WACHEZAJI SITA wenye spirit kama yako, Msimbazi tusingepumua.
Keep it up Nyoso!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa kama kuna ligi ndogo kati ya John Raphael Bocco na Juma Nyoso.
Hakika huyu mwamba leo amenikosha sana ukiacha kwamba aliwahi kucheza Simba amekuwa msaada mkubwa kwa Kagera na ameokoa hatari nyingi.
Awali niliwahi kupata taarifa kwamba mshikaji amepotea kwenye game halafu anakula ndumu vibaya lakini kwa leo moyo wangu umefurahi kuona jembe langu unakipiga vizuri na afya iko poa.
YANGA WANGEKUWA NA WACHEZAJI SITA wenye spirit kama yako, Msimbazi tusingepumua.
Keep it up Nyoso!
Sent using Jamii Forums mobile app