siwez kupaka rang am so real am so OGBe positive
Nahisi hujanielewa mimi wala sishangai sababu Kila mtu ana hisiaHampendi nini humu hatujuaniii yaan munaonea wivu id
Aaaa yea hapo hua ni tatizo lakin kama huna si unasifia tu hahahNahisi hujanielewa mimi wala sishangai sababu Kila mtu ana hisia
Swala ni hivi kumsifia mwanaume mwingine mbele ya boyfriend wako hapo ndio tatizo.
Mimi sina sababu ya kuchukia sababu hata sisi wanaume huwa tuwasifia wasanii wa kike wazuri.
Just relax Dinazarde
sijamaliza nimeona nitatapika bureNawe umemaliza kusoma pumba
dadadeki ana hela halafu handsomeee[emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji17] [emoji17]Nawe umemaliza kusoma pumba
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Aaaa yea hapo hua ni tatizo lakin kama huna si unasifia tu hahah
Bora wewe umekua fair...Wanaume tucheze Fair play jamani, huu mchezo hauhitaji hasira. Naona wengi mnachuki ya mwenzetu kusifiwa na watoto wa kike. Mbona sisi tunawasifiaga wakina wema, jokate, nk wao wanakaaga tuliii. Some times huwa tunasifia mat.ako yao nk wao wanatuliaga tuliii.
Piaa wahenga (wahenga wa siku hizi siyo wa zamani[emoji2]) kila biaahara ina mteja wake. So play calm. Huu mchezo hauhitaji nguvu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji28][emoji28][emoji28]weka picha tusije tukakumbia kumbe upo kama mwarabu fighter
wana wivu wao wabayaaaaaaa[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]siwezi kumind hata cku moja mkuu
Pole mkuu... Ila wao ukiongozana nao halafu mkutane na totoz kali lazima shingo ipinde....Wanaume wako hivo Mimi kuna siku nilikuwa naangalia movie Fulani ya William levy na mpenzi nikasema huyu mkaka nampendaga nilipigwa Kofi moja hilo sitosahau , yaani sijui wapoje[emoji3] [emoji3]
Bonge la bwanaaaaaaa!!!!100%Nawe umekubali kua ni jamaa mkali eeee
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ila wao wanapenda kusifia kina wema daily!!!Wanaume hawapendi kupitwa ila huo ndo ukweli jamaa mtanashati wallah Duh! Namnukuu mtoa post "Mungu Fundi" kajaaliwa mtoto wa watu pongez kwa anayemkaza kwa kweli wengine sie tunawatu wana manywele mpaka kudako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itabidi tufungue uzi kua kwanini wanaume hampendi mwanaume mwenzenu akisifiwa na mwanamke ilhali nyinyi wanaume mnasifia wanawake humu kila siku,Hahahahahaaaaa.....! dinazarde naona hii mada ifungwe tuu, maana hutokawia kuambiwa mchochezi muda si mrefu. Watu tushapanic tayari..!