Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Haha easy Guys hata sis tuna watu tunawazimia Jiamini tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ntakuchapaaa...Hii too much sasa.. umeona uje unisifie hadi JF?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sanaaa wangekua wenzangu kajamba nan tungekoma na show offMm mwenyewe nilikw sijui ni MTU mmoja cul Sana , japo kakaa kishua shua
[emoji28][emoji28][emoji28]Nampendaga mpaka siwez kujizuia nipigwe tu hayo makofi lakn nitamsifia tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
Aisee wala hajionyeshiJamaa ana pesa chafu...sema za urithi
Acha tu Dina [emoji39] [emoji39]Fireeeeeeeeee
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sasa uyo si wa kiumewanajuana... maana wote wamekufa hapo
Lkn hajaongea kwa ubaya amesema tu [emoji134] [emoji134]Kwani pesa za urithi ni haramu? kama Baba'ko alikuwa mzembe usiwaonee mtimanyongo walioandaliwa future na wazazi wao.
Kama unadhani kurithi pesa ni kazi rahisi basis na we we waandalie watoto wako urithi huo.
Mungu wengine kawapendeleaana macho flani,mdomo na fua flani amaizingggg!!!
Kizuri lazma kisifiweakili za mwanamke kumbe zinakuwaga namna hii, au sio kwa wote?
[emoji28][emoji28][emoji28]wana wivu wao wabayaaaaaaa[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Me nakupenda ili hali sijui sura yako inafananaje [emoji28][emoji28][emoji28]Juzi nilihudhuria show ya Jide Villa park nilimsikia akisema ukimpenda MTU mueleze na siyo kumchafuwa, nadhani mleta mada ametumia Uhuru wake wa kianti Magufuli.
Na wale wanaovutiwa na Matola licha Ya kuwa na sura ngumu mnaruhusiwa kushow love pia.
HahahhhI do remember few yrs back,wasanii walikua wamekuja kwenye show Dom enzi za ngwair kama sikosei,blue,nay nk
Sasa tunatoka hv Mara ikapita gari yao mie nkaanza kumsifia blue!Gari yao ilipigwa mkono na traffic!nlijutaa kakaa!!
Nilinuniwa njia nzimaa
Nkaulizwa'what the hell he got I don't have?'shame on u!!
Kisa bluu!
Kundi lao wakacha wote wakishuaUyu nae kumbe mtto wa kishua wala hajionyeshagi
Kuna yule mama anaemiliki Shear Illusions Shekha yani tumuanzishie Threads na Zuhuta YunusKuna mama wa BBC anaitwa Zuhura Yunus...walai huyu mama sijui kaufanyaje moyo wanguu nitamwanzishia uzi [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji9][emoji9][emoji9]
😀😀😀😀 Natumain uzi huo ujajaa maishairi na Utenzi wenye Nyama na MaziwaKuna mama wa BBC anaitwa Zuhura Yunus...walai huyu mama sijui kaufanyaje moyo wanguu nitamwanzishia uzi [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji9][emoji9][emoji9]
hadi KUJUA mshajua aiseeeeehuyu kaka nampenda sana anajua pia
Aseeh acha tu.Kuna yule mama anaemiliki Shear Illusions Shekha yani tumuanzishie Threads na Zuhuta Yunus