Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hewaa..yarabi amjalie amani...nampenda saana😀😀😀😀 Natumain uzi huo ujajaa maishairi na Utenzi wenye Nyama na Maziwa
Me bora nikose ITV but BBC sikosi kuna wamama wako vizuriAseeh acha tu.
Nyumban huwa nashtukiwa..saa tatu Ifike halafu mtu aweke muvi..direct BBC.sio kusikiliza taarifa bali kumwqangalia tu
Ana lafudhi fulani ya pwani iliyochanganyika na kizunguMe bora nikose ITV but BBC sikosi kuna wamama wako vizuri
Daah hapo mi sina ushahidi yani ukiwa maarufu saa zingine TabuNaskia ni punga[emoji125][emoji125][emoji125] (naskia)
[emoji39] [emoji39] [emoji39]Singida Boy Mnyaturu huyoo
Angalia tu usijirushe toka juu ya ghorofa kama yule kaka,vipi lakin unamfikia hata kidogo?
Watoto vyupi vyenu vinawabana....!!!?ana macho flani,mdomo na fua flani amaizingggg!!!
[emoji57] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Watoto vyupi vyenu vinawabana....!!!?
Haahahahahahaa naona umeamua kufunguka huyu kweli ni mzuri na ana mvuto!huyu ana vyote cc me and I @Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu
View attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709
We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23]
halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita
View attachment 393710
Hahaahahaha we denis unaonekana umeumia sanaa hahahaa ndio hivyo mwenzio kakuzidi hahaha punguza hasiraWewe kilichokuvutia nini hasa kwenye hiyo reception ya mbele
Lakini kidgo nilie ulivyosema diamond ana mdomo kama chapati [emoji22][emoji22][emoji22]na anavyojitahdi kuu sexisha jamaniiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]Hahaahahahahhah
Haahah maana alichoandika kimetoka kumoyo [emoji28][emoji28]Yaan ni shiidaaaah