Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Me bora nikose ITV but BBC sikosi kuna wamama wako vizuri
Ana lafudhi fulani ya pwani iliyochanganyika na kizungu
...hasa pale anapolitaja jina lake mimi hoi taabani..tukiwa pamoja mimi ni Zuhura Yunus BBC..[emoji7][emoji7][emoji7]
 
Angalia tu usijirushe toka juu ya ghorofa kama yule kaka,vipi lakin unamfikia hata kidogo?

Dinazarde;
Sijivuni ila ka huyo kakunanihii sijui miye ungezimia kabisa hadi hospitali. Uzuri si sura, moyo una mengi zaidi
 
Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,

[emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu

View attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709

We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23]

halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita

View attachment 393710
Haahahahahahaa naona umeamua kufunguka huyu kweli ni mzuri na ana mvuto!huyu ana vyote cc me and I @
 
Lakini kidgo nilie ulivyosema diamond ana mdomo kama chapati [emoji22][emoji22][emoji22]na anavyojitahdi kuu sexisha jamaniiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Hehehehe hakunji chapati huyooo mtu
 
Back
Top Bottom