Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,

[emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu

View attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709

We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23]

halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita

View attachment 393710
Anafaa Kwa mboga chaina.
 
1473138470815.jpg
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Diamond Ana mvuto gani[emoji15] [emoji15] [emoji57] [emoji57] [emoji57] yule ukimuona live mbayaa Ana mipele mipele usoni
ebu kampe papuchu ujue uzur wake unafikir kwanin msanii wako anadata na jamaaa achana mziki
 
ebu kampe papuchu ujue uzur wake unafikir kwanin msanii wako anadata na jamaaa achana mziki
"Kwann msanii wako anadata na jamaa Achana mziki" sijaelewa hapo em nyoosha maelezo . mm yangu naenda kumpa kamikaze na tuna appointment Leo jioni diamond mpelekee mkeo nahis atakusimulia uzuri wake ulivo[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
 
grow up old woman....you think life is just man with pretty face & six parts whatever he has mjinga sana wew mwanamke nimekudharau kuliko
Hahaaa wewe mbona avatar sio yako hiyo , inamaanisha na ww unapenda mwanamke wa hivo sasa na ww tukuweke kipengere kipi. Mapovu vepeeee[emoji12] [emoji12] [emoji12] wanaume wenye sura ngumu utawajua tu[emoji23] [emoji23]
 
grow up old woman....you think life is just man with pretty face & six parts whatever he has mjinga sana wew mwanamke nimekudharau kuliko
[emoji12] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]life is too short dude!!
easy...easy...!
 
"Kwann msanii wako anadata na jamaa Achana mziki" sijaelewa hapo em nyoosha maelezo . mm yangu naenda kumpa kamikaze na tuna appointment Leo jioni diamond mpelekee mkeo nahis atakusimulia uzuri wake ulivo[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
Tena kwa Kamikaze tunapanga foleni ukitoka naingia mimiii
 
Hahaaa wewe mbona avatar sio yako hiyo , inamaanisha na ww unapenda mwanamke wa hivo sasa na ww tukuweke kipengere kipi. Mapovu vepeeee[emoji12] [emoji12] [emoji12] wanaume wenye sura ngumu utawajua tu[emoji23] [emoji23]
Hehehhehehe ukute ana sura kama kalamba malimau
 
Hehehhehehe ukute ana sura kama kalamba malimau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana nimekuta picha yake sehemu[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

1473143166035.jpg
 
roho mbaya haijengi!!
yaani wanaume bwana kusifia mwanaume mwenzao ni shidaa!
Ndo maana saa zingine wanasalitiwa maana hata ukimkosoa kwamba hiki ulichofanya sio fanya hiki , wao wanapanic bila kujali kina thamani gani kwako ukimpata mwenye nacho unampa mgongo
 
mimi pia huwa mwanaume akiwa mzuri kabisa sinaga hisia nae hata kidogo..
nafikiri kwa sababu siamini katika tabia zao..
mimi mwanaume wangu natakaga awe body ya kuvutia wastani
sura sio mbaya wala sio mzuri.. kawaida
anajipenda/gentlemen
ilimradi anapiga mswaki na hanuki kikwapa..
kikubwa kuliko chochote tabia yake..
tabia yake ikiwa njema.. nahisi hicho ndio kinanivutia 70%..
Hapo nimefunika 99.5%..would you???
 
Back
Top Bottom