FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Zilikuwa drama za ile singo yake mpya.. Wamezurura wote ila now kila mmoja na mishe zake... Jamaa kaoa aisee kitambo tu.Basi bana lakin naona yuko poa tu,demu wake si kidoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilikuwa drama za ile singo yake mpya.. Wamezurura wote ila now kila mmoja na mishe zake... Jamaa kaoa aisee kitambo tu.Basi bana lakin naona yuko poa tu,demu wake si kidoa
mwanaume kuona wivu kisa mvuto itakua some disorders, bora angekuwa na hela!!!Hahaaa punguzeni wivu kwa wenzenu walopewa mvuto khaa
Hahhha wabongo utawaweza.. Ilikuwa part ya kuifanya singo yao itambe maana kidoa alikuwa video queen wake. Siwez mtaja apa wife wake ila ni binti poa sana hana makuu wala... Kama unamfuatilia vizur kamikaze kuna wakat alipotea kabisa kwenye game... Alikuwa anamuuguza wife wake. Thats ol dia.Mmmh niliona wameenda mpaka Dubai walienda kufanya nini?amemuoa nanii aisee
Povuuuu [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Mwanaume anapaka shedo.. anatinda nyusi.. Define him
Hahahha hofu yangu ilikuwa wewe na umekuja kweli[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Povuuuu [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Team cyrill tupo wengi kwanin nisije sasa [emoji12] [emoji12] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Hahahha hofu yangu ilikuwa wewe na umekuja kweli[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ana umbo dogo!Kweli??
Hhahahhah na kale kengine ka mamtoni je?? [emoji15] [emoji15] [emoji15]Team cyrill tupo wengi kwanin nisije sasa [emoji12] [emoji12] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Oooh maskini ,,,nawaombea wawe wana afya njema ,Hahhha wabongo utawaweza.. Ilikuwa part ya kuifanya singo yao itambe maana kidoa alikuwa video queen wake. Siwez mtaja apa wife wake ila ni binti poa sana hana makuu wala... Kama unamfuatilia vizur kamikaze kuna wakat alipotea kabisa kwenye game... Alikuwa anamuuguza wife wake. Thats ol dia.
Amen[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Oooh maskini ,,,nawaombea wawe wana afya njema ,
kunaitwa kupatwa kwa uso[emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana nimekuta picha yake sehemu[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
View attachment 394525
wanaume wana asili ya kujifanya mapaferct kwny kila kitu!Ndo maana saa zingine wanasalitiwa maana hata ukimkosoa kwamba hiki ulichofanya sio fanya hiki , wao wanapanic bila kujali kina thamani gani kwako ukimpata mwenye nacho unampa mgongo
easy kwa huy dada chaaa ujinga mtupu[emoji12] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]life is too short dude!!
easy...easy...!
Ujinga uko wapi?to express herself?kweli mkaka mzurii!!easy kwa huy dada chaaa ujinga mtupu
naona na wew wale wale sawa ni mzur kampe pip alambe basUjinga uko wapi?to express herself?kweli mkaka mzurii!!
Hahaa tuma picha nidhihirishe hayo uyasemayoHahahha ssa hyo vita... Ukiniona utafuta hyo comment
Demu wake anaitwa nani nataka kumfahamu[emoji22] [emoji22]Basi bana lakin naona yuko poa tu,demu wake si kidoa
Kumbe Ana mke[emoji134] [emoji134] [emoji134]Zilikuwa drama za ile singo yake mpya.. Wamezurura wote ila now kila mmoja na mishe zake... Jamaa kaoa aisee kitambo tu.
Sasa mbona mapovu yanawatokaa[emoji3] [emoji3]mwanaume kuona wivu kisa mvuto itakua some disorders, bora angekuwa na hela!!!