Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ndo wajue na sie inatuuma[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ila wao wanapenda kusifia kina wema daily!!!
Itabidi tufungue uzi kua kwanini wanaume hampendi mwanaume mwenzenu akisifiwa na mwanamke ilhali nyinyi wanaume mnasifia wanawake humu kila siku,
Ndo wajue na sie inatuuma
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] pole wee kutwa kuwasifia kina wema mbona huachwiii??Walaaahhh ungekua mke wangu talaka yako ungeikuta kwa wazaz wako Tangu tu ulivoandika huu Uzi
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] hana hata mvuto mbayaaaa!!360 tu zile!!Diamond Ana mvuto gani[emoji15] [emoji15] [emoji57] [emoji57] [emoji57] yule ukimuona live mbayaa Ana mipele mipele usoni
wanaume hawapendi umsifie mwenzao kwa uzuriKamikaze sio shoga bhana acheni kashfa au kakuzid ndo maana povu linakutokaa[emoji12] [emoji12] [emoji12]
umeona eeeeh[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Wanaume tucheze Fair play jamani, huu mchezo hauhitaji hasira. Naona wengi mnachuki ya mwenzetu kusifiwa na watoto wa kike. Mbona sisi tunawasifiaga wakina wema, jokate, nk wao wanakaaga tuliii. Some times huwa tunasifia mat.ako yao nk wao wanatuliaga tuliii.
Piaa wahenga (wahenga wa siku hizi siyo wa zamani[emoji2]) kila biaahara ina mteja wake. So play calm. Huu mchezo hauhitaji nguvu.
Ila William levy bwana acha tuu!Wanaume wako hivo Mimi kuna siku nilikuwa naangalia movie Fulani ya William levy na mpenzi nikasema huyu mkaka nampendaga nilipigwa Kofi moja hilo sitosahau , yaani sijui wapoje[emoji3] [emoji3]
Mi nasifia anayenuna anune tu haswaa mie mpenz wa muvi za kihindi kila me mzuri nasifia wananuaaaa!yanaisha...!!mana wakianza msifia wema,huddah!!mpk kerooi!!Ndo wajue na sie inatuuma
Unaonekana una wivu na kivuli maana yuko mbali Ila sifia ww sasa!!??Mbona huwa hamsemi kama kuwa inawauma.?
😛😛😛😛😛
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] pole wee kutwa kuwasifia kina wema mbona huachwiii??
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] hana hata mvuto mbayaaaa!!360 tu zile!!
wanaume hawapendi umsifie mwenzao kwa uzuri
inferiority complex
umeona eeeeh[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Ila William levy bwana acha tuu!
Sio peke yako switie kasababisha Marc Anthony na jlo waachane!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Juzi nilihudhuria show ya Jide Villa park nilimsikia akisema ukimpenda MTU mueleze na siyo kumchafuwa, nadhani mleta mada ametumia Uhuru wake wa kianti Magufuli.
Na wale wanaovutiwa na Matola licha Ya kuwa na sura ngumu mnaruhusiwa kushow love pia.
Unaonekana una wivu na kivuli maana yuko mbali Ila sifia ww sasa!!??
Wehu wao tuu!mi kamikaze atanipatia wapi!!!??labda...?!!visista duuhh!!vyote macho yamewatoka kina wema tunda wanamtaka!!Hahahahahaaa...! unafanya mchezo nini kuona dalili za kugegedewa.?
Wehu wao tuu!mi kamikaze atanipatia wapi!!!??labda...?!!visista duuhh!!vyote macho yamewatoka kina wema tunda wanamtaka!!
I do remember few yrs back,wasanii walikua wamekuja kwenye show Dom enzi za ngwair kama sikosei,blue,nay nkUkisifia wewe kelbu itakuhusu kama siyo mtama. heheheheheeeeh.
I do remember few yrs back,wasanii walikua wamekuja kwenye show Dom enzi za ngwair kama sikosei,blue,nay nk
Sasa tunatoka hv Mara ikapita gari yao mie nkaanza kumsifia blue!Gari yao ilipigwa mkono na traffic!nlijutaa kakaa!!
Nilinuniwa njia nzimaa
Nkaulizwa'what the hell he got I don't have?'shame on u!!
Kisa bluu!
Hii too much sasa.. umeona uje unisifie hadi JF?Naona wanaume povu linawatoka....[emoji126][emoji126][emoji126]sema huyo dogo hajamfkia wa kwangu...[emoji41]
akaah!nlinyamaza kimyaaa!!kaongea kuanzia mwanzo mpk mwisho wa safari,mie nasikiliza tuu!hadi tunarudi!mi naweza basi kujibizana upuuzi!Hahahahaaaa, ungemjibu tuu dushe lako na lake hayafanani. halafu ungetulia tuliii usikilizie mrejesho nyuma unakuwaje.