Aisee huyu tutamfungulia uzi na yeyeNakoma kwani kwa huyu kaka[emoji116] [emoji116] [emoji116] nipigwe tu hakuna namnaView attachment 394931[emoji14] [emoji14]
Singida boy anawatoa kamasiiWapasukee tu hakuna namna wao wakisifia wanawake humu hatupumui
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] anasoma hapa kua tunamkubaliAnajua huko aliko anacheka tu
Sana tu!Hehehe halaf wanamkubali
Mmmh! anacheka tena[emoji15] kwa nini?Anajua huko aliko anacheka tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Cousin ni hisia tu... Kwani WiFi yetu ni yupi kwa singida boy??Say whattttt???[emoji11]
Nawee maswali gani hayo si ni memeeeeee[emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] Cousin ni hisia tu... Kwani WiFi yetu ni yupi kwa singida boy??
[emoji12] [emoji12] [emoji12] Cousin umetisha... Sipati picha hicho kifua[emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nawee maswali gani hayo si ni memeeeeee[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
Unafaidi Sana... Hutaki msaidizi??[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ehehehhehe nafaidi eeee
Kabisa maana kizuri kula na nduguyo[emoji1] [emoji1] [emoji1]Eheheheh itabidi uwe unanisaidia siku moja moja eti
Mi mwenyew sio mpenzi wa hiyo migadern love jaman mh nashukuru mpenz wangu hana hiyo midude maana nisingecheleweshaWengine hawazipendi kama fabregas anatumia mamilioni kuzinyoa
Umenichekesha hatari unenikumbusha kuna siku baba angu mdogo alikuwa anacheki tangazo flan hivi la c.ronaldo sasa ilikuwa ni mda wa kula mke wake alipoliona akaropoka duh ila huyu cr ni handsome jamani afu ukizingatia mumewe mbovu balaa mweusi hatar alimkata jicho moja tu afu alajibiwa nimeshiba chakula akainuka sijui nin kiliendelea huko roomView attachment 393929
Nilikuwa naangalia moja ya movie za huyu jamaa .. Nampendaga sana so nikajikuta nisharopokwa[emoji3] [emoji3]
Umenichekesha hatari unenikumbusha kuna siku baba angu mdogo alikuwa anacheki tangazo flan hivi la c.ronaldo sasa ilikuwa ni mda wa kula mke wake alipoliona akaropoka duh ila huyu cr ni handsome jamani afu ukizingatia mumewe mbovu balaa mweusi hatar alimkata jicho moja tu afu alajibiwa nimeshiba chakula akainuka sijui nin kiliendelea huko room