Shikamoo Kamikaze

Kiume pesa. Period.
Ukija kuambiwa huyo mukaka naye ana mukaka wake sijui utasemaje?
Dina karibu Diamond hapa tule dona na Sato.
Asante Matola nakuja
 
Kwani pesa za urithi ni haramu? kama Baba'ko alikuwa mzembe usiwaonee mtimanyongo walioandaliwa future na wazazi wao.

Kama unadhani kurithi pesa ni kazi rahisi basis na we we waandalie watoto wako urithi huo.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji3] [emoji3]
 
Nimekupenda bure we mkaka muah
 
akili za mwanamke kumbe zinakuwaga namna hii, au sio kwa wote?
 
umemaliza?? naona umeposti pumba tupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…