Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita kama upepNitaanza kukausha pia
Jamiiforums ni platform kubwa inawezekana kutoa pendekezo hii salamu ikafutwa,, ni ya hovyoKuna Mwalimu wangu wa Kiswahili darasa la saba aliwahi kusema neno "Shikamoo lina maana ya Nipo chini ya miguu yako Bwana"
Anasema lina asili ya Uarabuni
Wale wenye idea ya Kiarabu waje wasaidie kutoa ufafanuzi.
The best salutation ni Hello/ Hi / Habari yako
Shikamoo limekaa kikoloni sana basi tu
We mbabu itikia salamu ujue ushazeeka wewe acha kujibebisha.Miim pia sipendi kuamkiwa wala kuamkia
Shikamoo bro mwachi😂Miim pia sipendi kuamkiwa wala kuamkia
Babu uzee haukimbiwi ukishafika umekufika tu. Pls itikia salamu za wajukuu zako!Yaani sipendi watoto wanisalimie shikamoo. Bora aseme mambo, how are you,. Unakuta vitoto kama 7 vyote shikamoo tajiri kichwa
Hiyo salamu naitumia mara chache sana hasa nikiwa Kijijini kwa WazeeJamiiforums ni platform kubwa inawezekana kutoa pendekezo hii salamu ikafutwa,, ni ya hovyo
Ahahahah sipendi shikamoo wala mambo ww tukikutana sema za sahizi pita KuleWe mbabu itikia salamu ujue ushazeeka wewe acha kujibebisha.
Sijazee kiasi iko mzeeshkamoo bro mwachi😂
Yani ile kuna watu unamwangalia unashindwa jua ni mkubwa ama mdogo,,,nimpe salamu aina ganiItabidi nifanye hivyo pia