Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na wewe upate yako
Cute wife, iyo salamu haileti mvuto kabisa. Ebu jaribu nyingine[emoji23]
Au kama ni Mali jenga bandari ya Dar es salaam[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au kama ni Mali jenga bandari ya Dar es salaam
Ahahhahah kwahiyo mimi ni mzee wa ovyoMizee mingine ya hovyo unakuta unamsalimia unampa mkono linakutekenya kiganja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahahhahah kwahiyo mimi ni mzee wa ovyo
Mambo binti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si hamtaki kusalimiwa, sasa mnataka nini?!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kimama nilikutana nacho kwenye bajaji nikakiambia "za saa hizi" kikaniletea jau eti "unalingana na mwanangu wa kwanza, nipe shikamoo yangu" yaani tabu tupu
Hakuna cha best,ishi kulingana na mila na destruri zenu.Kuna Mwalimu wangu wa Kiswahili darasa la saba aliwahi kusema neno "Shikamoo lina maana ya Nipo chini ya miguu yako Bwana"
Anasema lina asili ya Uarabuni
Wale wenye idea ya Kiarabu waje wasaidie kutoa ufafanuzi.
The best salutation ni Hello/ Hi / Habari yako
Shikamoo limekaa kikoloni sana basi tu
Mambo binti
Basi tumia: Hello, How U Doing? Kama hawakuelewi tumia: Hi, Dude!Tangu nimerudi nchini nimekuwa nikipata tabu sana kutambua yupi anastahili shikamoo na yupi hastahili, kuna nalingana nao umri ila wana maumbo makubwa hivyo najikuta nikiwapa shikamoo na hawaitikii.
Kuna watu ni wakubwa ila wanaonekana ni wadogo ki-umbo hivyo nimekuwa nawa-skip na huniona sina adabu, najiona nimekuwa.
Yaani kwa kifupi nimechoshwa na hii salamu,, ni salamu ya hovyo mnoo, nimechoshwa kila ninapokutana na mtu nianze kufikiria salamu ya kumpa.
Mbona wenzetu mfano Uganda salamu ni hiyo hiyo mdogo ana msalimia mkubwa na mkubwa ana msalimia mdogo..
Anyway, nguvu moja [emoji881]
Hakika MkuuHakuna cha best,ishi kulingana na mila na destruri zenu.
Achaana na shikamoo bas mremboNzuri baba, shikamoo
Mtoto wa miaka kumi akikusalimia 'habari yako'' au akasema 'hello'ni sahihi?Kuna Mwalimu wangu wa Kiswahili darasa la saba aliwahi kusema neno "Shikamoo lina maana ya Nipo chini ya miguu yako Bwana"
Anasema lina asili ya Uarabuni
Wale wenye idea ya Kiarabu waje wasaidie kutoa ufafanuzi.
The best salutation ni Hello/ Hi / Habari yako
Shikamoo limekaa kikoloni sana basi tu