Shikamoo ni salamu ya ovyo

Shikamoo ni salamu ya ovyo

Yaan nlipokuwa nasoma adv kuna walimu wa kik walikuwa hawaitikii shkamoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila watu wana mila na desturi zao,na ndio inafanya utofauti katika ya MTU na mtu, Nchi na Nchi-sasa unataka watu wote wawe na mila zinazofanana?
Kwa nini undhanie mila na desturi ya mwingine ni bora kuliko ya kwako? He elimu yao ndio imekupelekea kuwa na fikira hizo?

Ukiwa Roma fanya kama Waroma wanavyotaka.
 
Kuna kimama nilikutana nacho kwenye bajaji nikakiambia "za saa hizi" kikaniletea jau eti "unalingana na mwanangu wa kwanza, nipe shikamoo yangu" yaani tabu tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Mwalimu wangu wa Kiswahili darasa la saba aliwahi kusema neno "Shikamoo lina maana ya Nipo chini ya miguu yako Bwana"

Anasema lina asili ya Uarabuni

Wale wenye idea ya Kiarabu waje wasaidie kutoa ufafanuzi.

The best salutation ni Hello/ Hi / Habari yako

Shikamoo limekaa kikoloni sana basi tu
Hakuna cha best,ishi kulingana na mila na destruri zenu.
 
"Shikamoo pesa"

Uislam raha sana.


Asalaam Alaikum, haina mkubwa kwa mdogo wala mdogo kwa mkubwa. Haina mwanamke kwa mwanamme wala mwanamme kwa Mwanamke.
 
Tangu nimerudi nchini nimekuwa nikipata tabu sana kutambua yupi anastahili shikamoo na yupi hastahili, kuna nalingana nao umri ila wana maumbo makubwa hivyo najikuta nikiwapa shikamoo na hawaitikii.

Kuna watu ni wakubwa ila wanaonekana ni wadogo ki-umbo hivyo nimekuwa nawa-skip na huniona sina adabu, najiona nimekuwa.

Yaani kwa kifupi nimechoshwa na hii salamu,, ni salamu ya hovyo mnoo, nimechoshwa kila ninapokutana na mtu nianze kufikiria salamu ya kumpa.

Mbona wenzetu mfano Uganda salamu ni hiyo hiyo mdogo ana msalimia mkubwa na mkubwa ana msalimia mdogo..

Anyway, nguvu moja [emoji881]
Basi tumia: Hello, How U Doing? Kama hawakuelewi tumia: Hi, Dude!
Wakishanga tena na hiyo, waamkie hivi: whatsup, mother f....ker?
 
Binafsi siitumii tena, hata kwa wazee. Kuna salamu zenye heshima kuliko hiyi ambayo hata haieleweki.
 
Kuna Mwalimu wangu wa Kiswahili darasa la saba aliwahi kusema neno "Shikamoo lina maana ya Nipo chini ya miguu yako Bwana"

Anasema lina asili ya Uarabuni

Wale wenye idea ya Kiarabu waje wasaidie kutoa ufafanuzi.

The best salutation ni Hello/ Hi / Habari yako

Shikamoo limekaa kikoloni sana basi tu
Mtoto wa miaka kumi akikusalimia 'habari yako'' au akasema 'hello'ni sahihi?

Mimi naona kama ni dharau
 
Back
Top Bottom