Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Status
Not open for further replies.
Na kachelewa kweli,movie ya leo ilikua hatari mimi nilikua nashushia na juice kama sijanywa lita 5 sijui...
 
Duuuuh yani figganigga unasema mamake Diamond anakaa bado tandale na watu wanafurahia??...Hii thread yako imejaa uhongo mwingi sana.

Haswa kuhusu Mchomvu na wengne .
 
Nakuambia ni visa vyao vilishapita kumbe m1 wapo alikua na kinyongo...wacha wee ligi ilikua kali sana...

Dah kumbe kuweka vitu moyoni ni shida tena ukute mwenzako kasha sahau watu wenyewe hawaaminiki ukute wanaeneza kitu loh pole yao aisee wange forgive and forget hapo na kujizalilosha tu wanawake wanaume wana ma bifu ila hawazalilishani hadharani hivi hii wweek imekua ngumu sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…