Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Status
Not open for further replies.
Ulienimention wewe ni boyaaa tuuuu,,niliona jana mnapenda ushabikii looo hhhhhhaaa mtachali midomo waziii aiseeee
Ndio mjue jamanii wanajamii umbea mtamu balaaa
Halaf Kan'ntangaze lo uliniponza jana nilikua sina muda wa kuchambana kabisaa ila poaa tu mi sina cha kupungukiwa ntabaki mi kama miiii mama la kimangaa mchanganyikoo a.k.a shombe shombee eeee patamu kwelii ndio maana mme wangu kadata chezeaaa utamu wa embe dodoo
Nimerudi upyaaa atakaenianzishia umbeaaa mimi Dinazarde nazaa nae tena mapacha dadaadeki,napita njia yangu kila mtu apite yakeee Jamii sihami ng'oooo mpaka mme wangu Redlum.anitoee,nimerudi upyaa sitak ban

Kachukua mapepo yOooteee kaacha moja lle la jana. .
 
Last edited by a moderator:
Mimi nna roho ngumu kama baba zangu ,alshabab ipo damunii siweki mtu kapuni wala ignore list hapa, halaf ingekua inatokea inawekwa ndondi live aiseee hhhhaa mimi siogopi mtu jamii ni mwendo wa niheshimu nikuheshimu maana sijaiba,sijaua kusema natafutwa na polisii niko huru kabisaaa,, sijavunja katiba na sheria ya nchii
Halaf mnaonitumia pm za hongera mpo wanafiki mkiona watu wanachambana mnapendaa wakati mkiwa huku mnacheka aisee usiamini mtu zaidi ya mama yako tuu watu humu wanafikiii ,bora mngetuma MPESA muniwachee
 
Mimi nna roho ngumu kama baba zangu ,alshabab ipo damunii siweki mtu kapuni wala ignore list hapa, halaf ingekua inatokea inawekwa ndondi live aiseee hhhhaa mimi siogopi mtu jamii ni mwendo wa niheshimu nikuheshimu maana sijaiba,sijaua kusema natafutwa na polisii niko huru kabisaaa,, sijavunja katiba na sheria ya nchii
Halaf mnaonitumia pm za hongera mpo wanafiki mkiona watu wanachambana mnapendaa wakati mkiwa huku mnacheka aisee usiamini mtu zaidi ya mama yako tuu watu humu wanafikiii ,bora mngetuma MPESA muniwachee

Naona siku hizi pm hazitumiki kwa matumizi yaliyo usahihi bali kwa matumizi ya unafiki.
 
Huko pm pasikie tuu weeee,watu nooma yaan unacheka na mtu kwenye thread halaf akichambwa unatuma pm chamba kabisa huyo jamanii na siwajibuu mfyuuuu

hahaaaaaaaaaaaaaaaaa......n!!!!!
hallllllooooooooowwwwwe!!!
hehrheiyyyyyyyyyyyaaaaaaA!
 
Mimi nna roho ngumu kama baba zangu ,alshabab ipo damunii siweki mtu kapuni wala ignore list hapa, halaf ingekua inatokea inawekwa ndondi live aiseee hhhhaa mimi siogopi mtu jamii ni mwendo wa niheshimu nikuheshimu maana sijaiba,sijaua kusema natafutwa na polisii niko huru kabisaaa,, sijavunja katiba na sheria ya nchii
Halaf mnaonitumia pm za hongera mpo wanafiki mkiona watu wanachambana mnapendaa wakati mkiwa huku mnacheka aisee usiamini mtu zaidi ya mama yako tuu watu humu wanafikiii ,bora mngetuma MPESA muniwachee

Hahahaha...aisee kumbe huko pm kuna mambo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom