Ukimiliki chombo cha habari, unaweza kugeuza ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli na mtu pekee aliyeweza kumkomesha ruge ni Zamaradi sababu tu alikuwa na tangible evidence ya sauti na ndio maana shilawadu walivyoposti habari za kumkandamiza na yy nae akalipua bomb kwa kuachia sauti, la sivyo tungejua mpaka chupi ya Zamaradi zina rangi gani, zinamatundu mangapi, baadaye soudybrown akafuta ile post inayomuhusu Zamaradi. Ila namuomea huruma Diamond platnumz, kila mtu anajifanya mshauri ili kutetea maslai yake, kama kweli wao wanaweza kumbeba msanii mbona wameshindwa kwa Barnaba (msanii PEKEE aliyekamilika kwa kila kitu), lkn leo barnaba ukimtizama anatia huruma. Kweli more money, more haters, ila ruge anajua kuwatumia akina Soudybrown (hamna mwanahabari huru mbele ya bosi wake).