peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"" KAFARA"" HA HA HASIO KWL JAMAA MWANGA KICHIZI..!
OVERHAULING BROKEN ENGINES
View attachment 1835222
Kwahiyo sasa hivi tumeamua tuanze kuamini jamvi la habari maana tulikubaliana hatutaamini chochote kutoka kwenye gazeti la msiba. Nasema uongo ndugu zangu?
Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...Wadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.
Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...
Kwa kukosea kuandika heading ya kiswahili FRONT PAGE kunalifanya GAZETI kukosa VALIDITY ya kusomwa ,no matter , habari ina ukweli kiasi gani,ina uzito kiasi gani for mass consumption.
Mwisho mwishoni gazeti linaonekana halina WAHARIRI, kama wapo NI NDONDOCHA๐๐ ,na wafanyakazi wao watakuwa VIGAGURA,kwa sababu wameshindwa kuona kosa mpaka wanaruhusu gazeti lichapwe .
NB.hili gazeti ni la KUCHAMBIA AU KUNYEA MAVI,๐คฃ๐คฃ๐คฃ
KUFUNGIA VITUMBUA NI KULIPA CHEO AMBACHO HALISTAHILI.
Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...
Kwa kukosea kuandika heading ya kiswahili FRONT PAGE kunalifanya GAZETI kukosa VALIDITY ya kusomwa ,no matter , habari ina ukweli kiasi gani,ina uzito kiasi gani for mass consumption.
Mwisho mwishoni gazeti linaonekana halina WAHARIRI, kama wapo NI NDONDOCHA๐๐ ,na wafanyakazi wao watakuwa VIGAGURA,kwa sababu wameshindwa kuona kosa mpaka wanaruhusu gazeti lichapwe .
NB.hili gazeti ni la KUCHAMBIA AU KUNYEA MAVI,๐คฃ๐คฃ๐คฃ
KUFUNGIA VITUMBUA NI KULIPA CHEO AMBACHO HALISTAHILI.
South Africa huko Zuma anaenda kulala jela miezi 18 wenzetu hawataki mchezo.Mfumo wetu mbovu umetupumbaza sana, ndiyo maendeleo kwetu ni hisani ya mtawala
Nimecheka sana umeongea ukweliWadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.
Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
Sasa tutajadilije kichwa cha Habari, wakati habari yenyewe haipo.Wadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.
Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
Kule ni duniani mkuuSouth Africa huko Zuma anaenda kulala jela miezi 18 wenzetu hawataki mchezo.
NAONA MSUMARI UMEKUINGIA VIZURI!LICHAPWE โ
LICHAPISHWEโ
Je na wewe ulichoandika chote kinakosa validity sababu ya kukosea hilo neno? Na wewe unakuwa wa kuhifadhia kinyesi au kuchambiwa ๐๐๐๐