Shilingi Bilioni 24.2 za Jiji hazijulikani zilipo

Shilingi Bilioni 24.2 za Jiji hazijulikani zilipo

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
View attachment 1835134
Hazuulikani

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Wadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.

Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...

Kwa kukosea kuandika heading ya kiswahili FRONT PAGE kunalifanya GAZETI kukosa VALIDITY ya kusomwa ,no matter , habari ina ukweli kiasi gani,ina uzito kiasi gani for mass consumption.

Mwisho mwishoni gazeti linaonekana halina WAHARIRI, kama wapo NI NDONDOCHA๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ ,na wafanyakazi wao watakuwa VIGAGURA,kwa sababu wameshindwa kuona kosa mpaka wanaruhusu gazeti lichapwe .

NB.hili gazeti ni la KUCHAMBIA AU KUNYEA MAVI,๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

KUFUNGIA VITUMBUA NI KULIPA CHEO AMBACHO HALISTAHILI.
 
Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...

Kwa kukosea kuandika heading ya kiswahili FRONT PAGE kunalifanya GAZETI kukosa VALIDITY ya kusomwa ,no matter , habari ina ukweli kiasi gani,ina uzito kiasi gani for mass consumption.

Mwisho mwishoni gazeti linaonekana halina WAHARIRI, kama wapo NI NDONDOCHA๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ ,na wafanyakazi wao watakuwa VIGAGURA,kwa sababu wameshindwa kuona kosa mpaka wanaruhusu gazeti lichapwe .

NB.hili gazeti ni la KUCHAMBIA AU KUNYEA MAVI,๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

KUFUNGIA VITUMBUA NI KULIPA CHEO AMBACHO HALISTAHILI.

Watu wenye akili kubwa wana jadili issues not people. Nyie endeleeni kupotezwa kwa kupewa jambo dogo la kubishaniwa na mkaliacha kubwa. Bil 40+ hazipp mnajadiliana spelling mistake? Kweli nyie ni nyumbu. Maana binadamu hawapo hivyo wangehoji zilipo na kumrekebisha mwandishi.
 
Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...

Kwa kukosea kuandika heading ya kiswahili FRONT PAGE kunalifanya GAZETI kukosa VALIDITY ya kusomwa ,no matter , habari ina ukweli kiasi gani,ina uzito kiasi gani for mass consumption.

Mwisho mwishoni gazeti linaonekana halina WAHARIRI, kama wapo NI NDONDOCHA๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ ,na wafanyakazi wao watakuwa VIGAGURA,kwa sababu wameshindwa kuona kosa mpaka wanaruhusu gazeti lichapwe .

NB.hili gazeti ni la KUCHAMBIA AU KUNYEA MAVI,๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

KUFUNGIA VITUMBUA NI KULIPA CHEO AMBACHO HALISTAHILI.

LICHAPWE โŒ
LICHAPISHWEโœ…
Je na wewe ulichoandika chote kinakosa validity sababu ya kukosea hilo neno? Na wewe unakuwa wa kuhifadhia kinyesi au kuchambiwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.

Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
Nimecheka sana umeongea ukweli
 
Wadau mmeacha kujadili habari nyeti mnajadili gazeti? Hili nadhani ni tatizo kwenye ubongo wa watu. Anakuja mtu kukuletea taarifa umeibiwa nyumbani kwako unaaanza kumjadili jamaa kuwa kwanza hajachomekea, hajapendeza, ananuka jasho n.k.

Wewe una akili kweli? Badala ya kuulizana hizo Bilions zimeenda wapi watu mnajadiliana kama gazeti linasomwa au lah?
Sasa tutajadilije kichwa cha Habari, wakati habari yenyewe haipo.
Huko kutakuwa ni kupoteza muda.
 
LICHAPWE โŒ
LICHAPISHWEโœ…
Je na wewe ulichoandika chote kinakosa validity sababu ya kukosea hilo neno? Na wewe unakuwa wa kuhifadhia kinyesi au kuchambiwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
NAONA MSUMARI UMEKUINGIA VIZURI!

Hongera sana " KUBWA JINGA" kwa kushirikisha namna gani upo "Bare headed " ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ƒ
 
Back
Top Bottom