Shilingi Bilioni 24.2 za Jiji hazijulikani zilipo

Wewe ndiye mwenye TATIZO KWENYE UBONGO...

Kwa kukosea kuandika heading ya kiswahili FRONT PAGE kunalifanya GAZETI kukosa VALIDITY ya kusomwa ,no matter , habari ina ukweli kiasi gani,ina uzito kiasi gani for mass consumption.

Mwisho mwishoni gazeti linaonekana halina WAHARIRI, kama wapo NI NDONDOCHAπŸ˜ƒπŸ˜ƒ ,na wafanyakazi wao watakuwa VIGAGURA,kwa sababu wameshindwa kuona kosa mpaka wanaruhusu gazeti lichapwe .

NB.hili gazeti ni la KUCHAMBIA AU KUNYEA MAVI,🀣🀣🀣

KUFUNGIA VITUMBUA NI KULIPA CHEO AMBACHO HALISTAHILI.
 

Watu wenye akili kubwa wana jadili issues not people. Nyie endeleeni kupotezwa kwa kupewa jambo dogo la kubishaniwa na mkaliacha kubwa. Bil 40+ hazipp mnajadiliana spelling mistake? Kweli nyie ni nyumbu. Maana binadamu hawapo hivyo wangehoji zilipo na kumrekebisha mwandishi.
 

LICHAPWE ❌
LICHAPISHWEβœ…
Je na wewe ulichoandika chote kinakosa validity sababu ya kukosea hilo neno? Na wewe unakuwa wa kuhifadhia kinyesi au kuchambiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimecheka sana umeongea ukweli
 
Sasa tutajadilije kichwa cha Habari, wakati habari yenyewe haipo.
Huko kutakuwa ni kupoteza muda.
 
LICHAPWE ❌
LICHAPISHWEβœ…
Je na wewe ulichoandika chote kinakosa validity sababu ya kukosea hilo neno? Na wewe unakuwa wa kuhifadhia kinyesi au kuchambiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
NAONA MSUMARI UMEKUINGIA VIZURI!

Hongera sana " KUBWA JINGA" kwa kushirikisha namna gani upo "Bare headed " πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…