Shilingi Bilioni 3 Kudhamini Jezi za Timu ya Taifa

Shilingi Bilioni 3 Kudhamini Jezi za Timu ya Taifa

Sina maana ya kubeza udhamini huu, lakini ifike wakati tutazame mambo kwa hatua kadhaa mbele. Hivi tumeshindwa kabisa kuwavuta wadhamini wakubwa huko kina adidas, nike n.k?

Wanavokuja wale maraisa wa FIFA, sijui watendaji wakubwa wa FIFA, ma CEO huko hatujishughulishi hata kuwauliza A,B,C ambazo ni nzuri nasi tukapata hata pa kuanzia au tunapiga nao picha tu kisha wanaondoka?

Sent from my SM-A536E using JamiiForums mobile app
Shida bei mkuu wa bongo tuta weza nunua kwa bei za hao wakubwa kama za simba na yanga za 40,000 tunalia
 
Watanzania tuna changamoto ya kutothamini vya nyumbani, hta hao nike walianza km sandaland.
Mkuu nadhani point yangu haijaeleweka. Na nmeandika hapo juu sina maana ya kubeza, nmeuliza tu kwa kutamani kuwa angalau tujitutumue kwenye jersey za NT, ndio point yangu.
 
Hizi jezi zetu mzalishaji ni nani? Adidas, Nike, Umbro, Diadora, uhlsport au?
Mkuu kampuni ulizo zitaja ni kampuni kubwa Duniani haziwezi kuja kuwekeza kwetu.
 
Dah! ila bongo...

Yaani mmiliki wa biashara ya duka la nguo leo kawa designer kama kina Nike, Umbro, Adidas n.k...

Anyway mwenye nacho hupewa zaidi, acha watu wale pesa...
Mkuu timu yetu ya Taifa bado timu changa kidunia kwaiyo kampuni za Dunia haziwezi kuja kuwekeza kwenye Timu zetu za Taifa na klabu zetu, ili Kampuni za Nike, Puma , Adidas ili zije Tanzania lazima Taifa stars iwe inashiriki mashindano makubwa mfano Afcon, mfano timu za vijana hazi shiriki mashindano ya vijana, sasa kama Taifa stars kushiriki Afcon kila baada ya miaka 30 unadhani kampuni gani ya kimataifa itakubali kuja kutupa pesa zake.
 
Mkuu timu yetu ya Taifa bado timu changa kidunia kwaiyo kampuni za Dunia haziwezi kuja kuwekeza kwenye Timu zetu za Taifa na klabu zetu, ili Kampuni za Nike, Puma , Adidas ili zije Tanzania lazima Taifa stars iwe inashiriki mashindano makubwa mfano Afcon, mfano timu za vijana hazi shiriki mashindano ya vijana, sasa kama Taifa stars kushiriki Afcon kila baada ya miaka 30 unadhani kampuni gani ya kimataifa itakubali kuja kutupa pesa zake.

Utengenezaji wa jezi kwa makampuni makubwa ni biashara isiyojali umaarufu au mafanikio ya timu za taifa...

Rwanda ya kina Niyonzoma, Mbuyu Twite ilikuwa inatengenezewa jezi na Adidas, je unadhani walikuwa wana mafanikio kiasi ulichokieleza?

rwanda-national-football-team-3a9a117c-3d8a-4153-b894-72f7ffc0621-resize-750.jpeg
 
Kuna kuvaa jersey na kuvalishwa na hao Adidas,
Leta ushahidi wa Rwanda kuingia mkataba na Adidas wa kuwavalisha hao Amavubi,

Hata hapa bongo simba na yanga walikuwa wanavaa jersey za Uhlsports ila walikuwa hawalambi hata mia mbovu, same applied to stars
Utengenezaji wa jezi kwa makampuni makubwa ni biashara isiyojali umaarufu au mafanikio ya timu za taifa...

Rwanda ya kina Niyonzoma, Mbuyu Twite ilikuwa inatengenezewa jezi na Adidas, je unadhani walikuwa wana mafanikio kiasi ulichokieleza?

rwanda-national-football-team-3a9a117c-3d8a-4153-b894-72f7ffc0621-resize-750.jpeg
 
Utengenezaji wa jezi kwa makampuni makubwa ni biashara isiyojali umaarufu au mafanikio ya timu za taifa...

Rwanda ya kina Niyonzoma, Mbuyu Twite ilikuwa inatengenezewa jezi na Adidas, je unadhani walikuwa wana mafanikio kiasi ulichokieleza?

rwanda-national-football-team-3a9a117c-3d8a-4153-b894-72f7ffc0621-resize-750.jpeg
Kampuni kubwa wana vigezo vyao sizani kama sasa hivi Adidas bado wanaidhamini Rwanda, mfano wanaweza kuja Tanzania kuidhamini Timu zote za Taifa kuanzia timu ya wakubwa mpaka timu za vijana na wanawake, lakini masharti yao lazima timu za vijana zishiriki mashindano ya kimataifa mfano kombe la Afrika la vijana, kombe la dunia la vijana.**** mwaka Adidas walitaka kujitoa kuidhamini Nigeria kwa sababu ya kufanya vibaya mashindano ya kimataifa.
 
Kampuni kubwa wana vigezo vyao sizani kama sasa hivi Adidas bado wanaidhamini Rwanda, mfano wanaweza kuja Tanzania kuidhamini Timu zote za Taifa kuanzia timu ya wakubwa mpaka timu za vijana na wanawake, lakini masharti yao lazima timu za vijana zishiriki mashindano ya kimataifa mfano kombe la Afrika la vijana, kombe la dunia la vijana.**** mwaka Adidas walitaka kujitoa kuidhamini Nigeria kwa sababu ya kufanya vibaya mashindano ya kimataifa.
Watu wanafikiri Adidas kama Vunja bei kuwa wanaenda team yeyote 😂😂😂😂😂😂
 
Kuna kuvaa jersey na kuvalishwa na hao Adidas,
Leta ushahidi wa Rwanda kuingia mkataba na Adidas wa kuwavalisha hao Amavubi,

Hata hapa bongo simba na yanga walikuwa wanavaa jersey za Uhlsports ila walikuwa hawalambi hata mia mbovu, same applied to stars

Watu wa JF huwa mnapenda kubishana bishana tu na ndio maana watu wako na facts huwa wanaishia kuwa wasomaji tu...

Wewe jua kuwa Rwanda walikuwa wanavaa hizo jezi sababu Adidas alikuwa ndio main supplier under a frame contract kwa muda huo ambayo walisign kama sijakosea ilikuwa mwanzo mwa 2000 hapo...

Kama unataka ushahidi zaidi, you can easily google kuna ushahidi huko
 
Mkuu kampuni ulizo zitaja ni kampuni kubwa Duniani haziwezi kuja kuwekeza kwetu.
Watuthamini japo kidogo, mbona puma walishamiliki kiwanda pale morogoro cha kuzalisha sports wear? Watudhamini hao puma
 
Sina maana ya kubeza udhamini huu, lakini ifike wakati tutazame mambo kwa hatua kadhaa mbele. Hivi tumeshindwa kabisa kuwavuta wadhamini wakubwa huko kina adidas, nike n.k?

Wanavokuja wale maraisa wa FIFA, sijui watendaji wakubwa wa FIFA, ma CEO huko hatujishughulishi hata kuwauliza A,B,C ambazo ni nzuri nasi tukapata hata pa kuanzia au tunapiga nao picha tu kisha wanaondoka?

Sent from my SM-A536E using JamiiForums mobile app
Wananchi wenu hawana uwezo wa kununua jezi kwa zaidi ya laki

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom