Viwango vyao ? Waende nje wapate pesa zaidi....tupambane kwenye viwango sio kulalamika tu....wakienda trials wanafeli....Iwe ni kweli au siyo kweli, Kuna wachezaji wa nje wanalipwa mshahara zaidi ya hiyo signing fee kwa mwezi na wanalipwa bila shida yoyote, usajili wa wachezaji wa nje hauna shida yoyote lakini ikifika suala la mchezaji wa ndani, kwanza wanashushwa thamani, mishahara midogo, usajili migogoro....
Kweli Simba na Yanga ni ndugu wa damu na CCM linapokuja suala la maslahi ya mtanzania mwenzie.
una uhakika hizi timu zinapenda wachezaji wa ndani waende kucheza nnje?Viwango vyao ? Waende nje wapate pesa zaidi....tupambane kwenye viwango sio kulalamika tu....wakienda trials wanafeli....
Tena hapo kwa kumpa mchezaji mkataba wa miaka mitatu!...Gharama za usajili shilingi Milioni 30 Timu inaomba ilipe kwa awamu mbili?
Sijuiii hilouna uhakika hizi timu zinapenda wachezaji wa ndani waende kucheza nnje?
Mbumbumbu weweTena hapo kwa kumpa mchezaji mkataba wa miaka mitatu!
Ndio maana nimesema hiyo hati ya malipo iliyoonyeshwa jana na mwanasheria msomi ilikuwa ni malipo ya deni la Yanga kwenda kwa Singida FG kwa ajili ya usajili wa Kibabage, sio usajili wa Kagoma
Tena hapo kwa kumpa mchezaji mkataba wa miaka mitatu!
Ndio maana nimesema hiyo hati ya malipo iliyoonyeshwa jana na mwanasheria msomi ilikuwa ni malipo ya deni la Yanga kwenda kwa Singida FG kwa ajili ya usajili wa Kibabage, sio usajili wa Kagoma
Iwe ni kweli au siyo kweli, Kuna wachezaji wa nje wanalipwa mshahara zaidi ya hiyo signing fee kwa mwezi na wanalipwa bila shida yoyote, usajili wa wachezaji wa nje hauna shida yoyote lakini ikifika suala la mchezaji wa ndani, kwanza wanashushwa thamani, mishahara midogo, usajili migogoro....
Kweli Simba na Yanga ni ndugu wa damu na CCM linapokuja suala la maslahi ya mtanzania mwenzie.
Ndugu mbumbumbu ebu jiulize swali rahisi hivi ni kwanini uongozi wa Yusufu Kagoma uliomba Yanga waliondoe shauri hili kwenye kamati wakayamalize pembeni wakati mazingira kwa kesi iyo kwao ni rahisi na kuwashinda Yanga!!
Maana yake Kuna mengi wanayafahamu kuliko wewe mbumbumbu.
Bahati mbaya zaidi kumbe Simba Walisha taarifiwa kwenye kikao wasimtumie Kagoma kwakua Bado ishu yake haipo sawa.
Tunapo elekea nikutamu kuliko Mwanzo wa sto
Ccm inaingiaje hapa ktk jukwa la michezo?Iwe ni kweli au siyo kweli, Kuna wachezaji wa nje wanalipwa mshahara zaidi ya hiyo signing fee kwa mwezi na wanalipwa bila shida yoyote, usajili wa wachezaji wa nje hauna shida yoyote lakini ikifika suala la mchezaji wa ndani, kwanza wanashushwa thamani, mishahara midogo, usajili migogoro....
Kweli Simba na Yanga ni ndugu wa damu na CCM linapokuja suala la maslahi ya mtanzania mwenzie.
Wachezaji wa ndani hata awe na kiwango usumbufu upo palepale ikifika kuongeza mkataba tofauti na wachezaji wa njeViwango vyao ? Waende nje wapate pesa zaidi....tupambane kwenye viwango sio kulalamika tu....wakienda trials wanafeli....
Yanga haijawahi kuwa makini inapokuja suala la sheria,wakati wa morison kelele hivo hivo kuonyesha makaratasi mwisho hamna lolote,mnaonekana wajinga hamjawahi kuwin suala lolote la kisheria maana mikataba yenu ni ujanja ujanjaNdugu mbumbumbu ebu jiulize swali rahisi hivi ni kwanini uongozi wa Yusufu Kagoma uliomba Yanga waliondoe shauri hili kwenye kamati wakayamalize pembeni wakati mazingira kwa kesi iyo kwao ni rahisi na kuwashinda Yanga!!
Maana yake Kuna mengi wanayafahamu kuliko wewe mbumbumbu.
Bahati mbaya zaidi kumbe Simba Walisha taarifiwa kwenye kikao wasimtumie Kagoma kwakua Bado ishu yake haipo sawa.
Tunapo elekea nikutamu kuliko Mwanzo wa stori.
Swala la Morrison Yanga wali dhulumiwa haki Yao na wakajipanga kwenye uwekezaji wa timu na bench la ufundi kwasasa Yanga wako mbali wao Yanda ndio Wana tamba kwa Makombe ndani ya uwanja.Yanga haijawahi kuwa makini inapokuja suala la sheria,wakati wa morison kelele hivo hivo kuonyesha makaratasi mwisho hamna lolote,mnaonekana wajinga hamjawahi kuwin suala lolote la kisheria maana mikataba yenu ni ujanja ujanja
Sasa kama mnakoelekea ni kutamu, kuna haja gani ya kuitisha press? Jiulize chura 🤣 🤣 🤣Bahati mbaya zaidi kumbe Simba Walisha taarifiwa kwenye kikao wasimtumie Kagoma kwakua Bado ishu yake haipo sawa.
Tunapo elekea nikutamu kuliko Mwanzo wa stori.
Elewaneni na msemaji wa Singida ndio urudi hapaNani kakwambia ni Ya kibabage
Mbumbumbu wewe
Nani kakwambia ni Ya kibabage
Ndugu mbumbumbu ebu jiulize swali rahisi hivi ni kwanini uongozi wa Yusufu Kagoma uliomba Yanga waliondoe shauri hili kwenye kamati wakayamalize pembeni wakati mazingira kwa kesi iyo kwao ni rahisi na kuwashinda Yanga!!
Maana yake Kuna mengi wanayafahamu kuliko wewe mbumbumbu.
Bahati mbaya zaidi kumbe Simba Walisha taarifiwa kwenye kikao wasimtumie Kagoma kwakua Bado ishu yake haipo sawa.
Tunapo elekea nikutamu kuliko Mwanzo wa stori.
Kwaiyo wewe tupe thamani ya kagoma ni shingapi?Iwe ni kweli au siyo kweli, kuna wachezaji wa nje wanalipwa mshahara zaidi ya hiyo signing fee kwa mwezi na wanalipwa bila shida yoyote, usajili wa wachezaji wa nje hauna shida yoyote lakini ikifika suala la mchezaji wa ndani, kwanza wanashushwa thamani, mishahara midogo, usajili migogoro.
Kweli Simba na Yanga ni ndugu wa damu na CCM linapokuja suala la maslahi ya mtanzania mwenzie.
Nyie mmewini lipi tuambie, msimu huu ndio mmeboronga kabisa kesi kibao, anzia suala la awesu awesu kama sio busara za kmc alikuwa achezi Mpira pale, nenda lameki lawi ni yale yale, nenda kwa Valentino na sasa kagoma, viongozi wenu ndio Wenye matatizo wanadhani bado watu ni mbumbumbu kama miaka Ile!Yanga haijawahi kuwa makini inapokuja suala la sheria,wakati wa morison kelele hivo hivo kuonyesha makaratasi mwisho hamna lolote,mnaonekana wajinga hamjawahi kuwin suala lolote la kisheria maana mikataba yenu ni ujanja ujanja
Tusaidie kujua bei ya Yusuph Kagoma. Yawezekana wenye mchezaji na wanunuzi walipitiwa hapo!Iwe ni kweli au siyo kweli, kuna wachezaji wa nje wanalipwa mshahara zaidi ya hiyo signing fee kwa mwezi na wanalipwa bila shida yoyote, usajili wa wachezaji wa nje hauna shida yoyote lakini ikifika suala la mchezaji wa ndani, kwanza wanashushwa thamani, mishahara midogo, usajili migogoro.
Kweli Simba na Yanga ni ndugu wa damu na CCM linapokuja suala la maslahi ya mtanzania mwenzie.
Utopolo ni kulia Lia mnyama anawanyosha tuSwala la Morrison Yanga wali dhulumiwa haki Yao na wakajipanga kwenye uwekezaji wa timu na bench la ufundi kwasasa Yanga wako mbali wao Yanda ndio Wana tamba kwa Makombe ndani ya uwanja.
Kitu kingine ambacho mbumbumbu hawafahamu na ndicho ambacho Yanga wame bobea ni ku set ajenda ya Nini kijadiliwe katika mpira wa miguu Nchini.
Bahati mbaya Mbumbumbu fc uwa mnajazwa na kujaa na kwenda na Ajenda wanayo itaka.