Shilingi Milioni 30 Timu inaomba ilipe kwa awamu mbili? Dharau za CCM kwa Watanzania ni sawa na hizi timu kwa wachezaji wa ndani

una uhakika hizi timu zinapenda wachezaji wa ndani waende kucheza nnje?
Klabu Haina hati miliki ya milele ya wachezaji wa ndani. Kama uwezo upo nje utaenda na haiwezi kuzuiliwa na klabu za Simba na Yanga. Bora hata wangekuwaga na uthubutu wa kuingiza mkataba wa miaka sita mpaka nane lakini hii ya miaka miwili miwili.
 
una uhakika hizi timu zinapenda wachezaji wa ndani waende kucheza nnje?
Sio kila anayekwenda nje anafanikiwa. Wapo wanaokwenda lakini hakuna cha maana kinachoendelea. Hivyo kuna situations sio tu kwakua imekuja ya nje lazima umruhusu mchezaji. Tathimini maslahi ya timu na mchezaji
 
Usikaze fuvu,hizo busara ndo kushinda kwenyewe,sio kama nye mnapiga kelele kila mwaka halafu hamna lolote,utaona mwenyewe,kagoma ameshacheza mechi za simba,na ataendelea kucheza na mtaishia kupiga kelele tu tu hamwezi lolote maana kwenye sheria ni vichwa wazi
 
Hamseti lolote ,baada ya kuona mnafeli mnaanza kusema hivo,halafu nimeongelea suala la sheria siyo makombe.
 
Binafsi hili huwa linaniuma sana mpaka huwa najikuta natamani kuanzisha timu yangu ambayo itatambua umuhimu na kutathimini vipaji vya wazawa.
 
Sio kila anayekwenda nje anafanikiwa. Wapo wanaokwenda lakini hakuna cha maana kinachoendelea. Hivyo kuna situations sio tu kwakua imekuja ya nje lazima umruhusu mchezaji. Tathimini maslahi ya timu na mchezaji
Kwamba kuliko kwenda Wydad ni heri ubaki kwenye viunga vya kariakoo kwenye timu zinazochukulia poa vipaji vya wazawa sio??
 
Kwamba kuliko kwenda Wydad ni heri ubaki kwenye viunga vya kariakoo kwenye timu zinazochukulia poa vipaji vya wazawa sio??
Kwa kauli hiyo mchezaji ana haki ya kuondoka. Ila kama unazungumzia Yanga au Simba sidhani kama kwa sasa hilo lipo.
 
Ishu sio kesi ishu ni mil30 kulipwa kwa awamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…