Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Nasikia ametangaza nia kugombea ubunge huko Tabora kupitia chama cha kawaida!
 
Hapana, haifai kulaani binaadam mwenzio, hujafa hujaumbika nawe pengine una mabinti hujuwi watakuaje, na Mwenyeezi Mungu ametuwekea wazi milango ya toba.

Ni wakumsikitikia na kumuombea aongoke.

Ambae hasameheki ni yule mwenye kufanya shirk.

Walmushirkina finari jehanam......
 
Huyu demu kumbe ni bonge la mshamba!!! Naona analazimisha umaarufu kwa kuudhalilisha mwili wake!
 
#Mshana jr niliiona na hii hapa...!
 

Attachments

  • 1431415192340.jpg
    6.1 KB · Views: 1,088
Wasanii wa kike bongo hapa ni zero brain.......75% of them
 
Sir Maatope , Habari za Kwa Mtogole. Mzee Akilimali wa Yanga mzima lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…