Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Unaweza Ku HIT HEADLINES kwa mambo makubwa matatu
-Kufanya jambo kubwa la maana na lenye faida
-Kufanya jambo kubwa la aibu na upuuzi mtupu
-Kufanya jambo la kuchekesha kwa maana ya kuwa kituko, huku ukidhani ni KICK
 
Weka picha ya hao mashabiki wengi waliotikiswa naye...
 
Weka picha ya hao mashabiki wengi waliotikiswa naye...

Ngoja nimsaidie 1431392481671.jpg1431392481671.jpg
 
Nimesikia "you heard" Clouds anasema eti ni bahati mbaya nguo ya ndan ilibenjuka so nyonyo ikachomoka bila yy kujua kutokana na mzuka wa stejin ila kama c unafiki anasikitishwa na aliemchukua iyo picha

Kwa nguo gani?
 
Last edited by a moderator:
KIJANA wake atakuwa anapaka gris ndipo anamfanyia mambo yetu Yale ya ki 18
 
Mi sioni tatizo minyonyo kuwa hadhalani kwani hats huku uswahilini akina mama wengi huchomoa manyonyo yao na kunyonyesha watoto hadharani kabisa! Zingekuwa chuchu hapo ndo sheeedah. Ila hiyo nguo na jinsi anavyonyemuka hapo kwa stage mmmh ngachoka mieee!
Usikute usiku ule kijinuhu kilipigwa exile shishi babe akawa kwenye "project"
 
Akili kumkichwa.. Mwenzetu kapeleka unga wa ulezi... wameumiss belgium!
 
Back
Top Bottom