Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Yaani anawaathiri sana Kisaikolojia watoto wake wasio na hatia.

Maana hata kama wakiwa shule,anaweza kutokea mtoto mmoja amepinda akawaambia mama yenu anacheza uchi kwenye ma bar ili mpate kula.Maana mashuleni kuna watoto wamepinda

Na wakiangalia wanaona kweli.Malaika wa Mungu wanaingizwa na mama yao kwenye Majaribu bila hatia.Maana picha hizi hazifutiki hadi Kiama.Na huna lugha ya kuwaambia watoto.

Maana hata kama mtoto anataka kusomea Uchungaji au kuwa Sheikh,unampa wakati mgum sana,Maana hata akifikisha neno la mungu watu wanaweza kumchomekea oyaaaa we mama yako mbona amevuguwaa.
Unayosema ni kweli tupu, watoto wake watakua wanyonge sana kutokana na tabia za mama, dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.

Shilole ni mpuuzi sana, Na hao wabeba maboksi wanakenue kama waserengema
 
Back
Top Bottom