Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge huyo wa ccm jimbo la Igunga
View attachment 251041
View attachment 251042
View attachment 251043
Huyu mwanamke kaingia ulaya kumemchangaya anafanya show nusu uchi au alijuwa ndio wasanii wanavyoiteka dunia?Ni aibu sijuwi anarudije kwenye aridhi ya nyumbani.
Kweli ilikuwa shoo kubwa!Mpaka matiti yaliwekwa hadharani!??
Hahahahaaaa! Aiseee...
Unayosema ni kweli tupu, watoto wake watakua wanyonge sana kutokana na tabia za mama, dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.Yaani anawaathiri sana Kisaikolojia watoto wake wasio na hatia.
Maana hata kama wakiwa shule,anaweza kutokea mtoto mmoja amepinda akawaambia mama yenu anacheza uchi kwenye ma bar ili mpate kula.Maana mashuleni kuna watoto wamepinda
Na wakiangalia wanaona kweli.Malaika wa Mungu wanaingizwa na mama yao kwenye Majaribu bila hatia.Maana picha hizi hazifutiki hadi Kiama.Na huna lugha ya kuwaambia watoto.
Maana hata kama mtoto anataka kusomea Uchungaji au kuwa Sheikh,unampa wakati mgum sana,Maana hata akifikisha neno la mungu watu wanaweza kumchomekea oyaaaa we mama yako mbona amevuguwaa.
Atakuwa chadema tu oooops chagadema
Kwanza ni stage gani kwa nyuma kuna meza na viti?
Hii show haijafanyiwa sebuleni kweli?
Yaaani yale sio matiti ni mapupu au mabuguruni malapa
Shame. Sema anamatko malaini