Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh. Mzee wa Loose ballsMi shilole hivyo hivyo napiga
Dude bado mile zinasoma lile..kuliko hata hivi visista duu vichafu vichafuDuuh. Mzee wa Loose balls
NakaziaDude bado mile zinasoma lile..kuliko hata hivi visista duu vichafu vichafu
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Kwani kuonyesha matiti kuna ubaya gani. Haya mambo yanategemea utamaduni wa kabila husika. Tanzania kuna makabila kedekede ambayo hakuna aibu matiti kuwa nje. Nenda Ukuryani uone wanavyoonyesha matiti na si dhambi au utovu wa adabu. Nenda umasaini pia ukajionee hayo. Nchi nzima ya Afica kusini, Botwasana, Swaziland, Lesotho, Namibia Sudan ya Kusini, Sehemu ya Ethiopia matiti kuwa nje ni kawaida. Pia kuna makabila mengi Africa yanayoficha matiti. Hii ni jadi yao. Kwa hiyo msanii kuficha au kutoficha matiti haionyeshi kutofuata mila na tamaduni za kiafrika kwa sababi mila na tamaduni zinatofautiana. Mbona hakuna nayekemea singeli, na michezo mingine ya pwani ambapo wanaume kwa wanawake wanakata viuno na kutingisha matako. Kwani aliyofanya Shilole ina tofauti gani na singeli? Si afadhali huko analipwa lakini huku kwetu wachezaji huishia kupata gongo tu!
Na michuzi anakupikia bureDude bado mile zinasoma lile..kuliko hata hivi visista duu vichafu vichafu
Haya maisha yanakimbia sana, miaka michache iliyopita alikwa binti mbichi, hivi sana jimama bonge
Mmh😂😂😂😂😂 ana titi kama tunguli nyeusiiii kama pua ya mbwa
😂😂🤣Kaburi limefukuliwa
😂😂😂😂😂 ana titi kama tunguli nyeusiiii kama pua ya mbwa
😀😁😂😅😅😆Chakula ya Romyb3D