Shilole alistahili kipigo cha Bw. Uchebe

Ochebe bhana. Aheshimu kazi ya watu. Mimi hata angekuwa wacheza pornogh ningeheshimu kazi yake tu maana hapa kazi tu
 
Kuna aina ya wanawake kwa walivyo na maisha yao unapata wapi ujasiri wa kumgeuza mke? Mtu kamili hutafuta pesa ili impe heshima. Sasa unapooa anayeuza heshima apate pesa unatarajia nn! Labda uwe kwenye mission maalum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…