Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,190
Na mpaka alipewa nafasi ya kuongea.Wewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mpaka alipewa nafasi ya kuongea.Wewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unaweza kusema shilole alisema kipi kibaya?
Ila si kweli kamzidi?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwamba anamzidi 'followers'.
Shilole katoa wimbo na Kiba kaachia video, jiongeze.Kwenye page ya michuzi naona ameweka audio ya nyimbo mpya ya Shilole, isijekuwa wanatuachezea akili zetu?
Maana hawa Bongo Mavi na Bongo fleva ni kusanyika la majitu majinga mengi.
Thanks[emoji122][emoji122]Acha ujinga stick kwenye mada, unadhani kila anayemkosoa Ali anamfurahia Diamond akili gani hizo? Wote na huyo Mondi ni walewale tuu
I noted that too.Muandiko huu si wa Shilole, ni kama mwanaume ndio kaandika kutokana na mpangilio wa mawazo na mtiririko wa maudhui yaliyomo.
Hata kama alichoandika ni sahihi ama sio, bado andiko hili limekqa vizuri. Bila shaka ni Mwanasheria wake ama chawa wake Msomi ndio kaandika na Shihibebi kabandika tu.
Shilole hana "akili" za andiko hili!
Umefafanua bila kutia chunvi, hakutaja jina la Kiba though alimu-implicate. Mwanaume yoyote angelipotezea lipite lakini kumbe wote walikuwa na projects za kuachia.Umeongeza chumvi...
Kilichotokea mwanzo wake ni Esha Busheti kumlalamikia Kiba kwamba hakumpa attention kwenye listening party!! Ikaonekana Kiba hakumpa attention Esha kwa sababu ya Shilole!!
99% ya interview unayoisema, Shilole alimlenga Esha, na mwishoni kabisa mwa interview, ndipo Shilole akasema "...yaani yeye... yeye mwenyewe nimemzidi followers. Anayemzungumzia, nimemzidi followers"!
Huyo "yeye" ni Esha!!
Na kimsingi, hoja ya Shilole ilikuwa kumshangaa Esha kwanini ka-mind alichodai hakupewa attention!
This is the damn gossip page, majukwaa mengine yako available pia. It's your choice.What is this?!! Don't you young men and women have something better to do!?insteady of westing time on this personal none monetary issues.
Ni kweli lakini kwanini alisema wakati yule ni 'mfalme'.Ila si kweli kamzidi?
Kwakweli.Muandiko huu si wa Shilole, ni kama mwanaume ndio kaandika kutokana na mpangilio wa mawazo na mtiririko wa maudhui yaliyomo.
Hata kama alichoandika ni sahihi ama sio, bado andiko hili limekqa vizuri. Bila shaka ni Mwanasheria wake ama chawa wake Msomi ndio kaandika na Shihibebi kabandika tu.
Shilole hana "akili" za andiko hili!
Sio hilo tu, aliwahi pia kusema kazini kwake anapiga nyimbo za wasanii wote isipokuwa za Kiba tu. Hizi chokochoko inaonekana zilianza kitambo na yawezekana there is more than what we know.Ni kweli lakini kwanini alisema wakati yule ni 'mfalme'.
Ni kweli lakini kwanini alisema wakati yule ni 'mfalme'.
Kwahiyo kama hazipigi haruhusiwi kusema, aishi kiunafiki na kiuoga kwa kuwa ni 'king'?Sio hilo tu, aliwahi pia kusema kazini kwake anapiga nyimbo za wasanii wote isipokuwa za Kiba tu. Hizi chokochoko inaonekana zilianza kitambo na yawezekana there is more than what we know.
Wewe wasema[emoji2369][emoji2369]Labda mfalme jua hahaaa
Na king kusema yeye hakumualika maybe ni team yake ndio ilimualika kuna tatizo? Si ni kweli hakumualika!Kwahiyo kama hazipi haruhusiwi kusema, aishi kiunafiki na kiuoga kwa kuwa ni 'king'?
It's true wao si marafiki lakini kwa mwanaume kuingia kwenye mipasho na mwanamke ni jambo la aibu, sasa You Tube watu wanawachambua nani mwenye maisha zaidi ya mwenzie au nani ameajiri watu wengi zaidi ya mwenzie issues which are irrelevant.
Mambo ya aibu lakini kwa kuwa mmoja katoa wimbo leo na mwingine kaachia video we can't really know what's behind all this fracas, they 'could' be playing a game.
Kiba Amekuwa mtu wa kiki kweli mziki umekuwa mgumu sanaNa king kusema yeye hakumualika maybe ni team yake ndio ilimialika kuna tatizo? Si ni kweli hakumualika!
Hajarushiana nae maneno, aliulizwa swali akajibu.
Kiki mmempa nyie.Kiba Amekuwa mtu wa kiki kweli mziki umekuwa mgumu sana
😆Kazingua kwa kweli watu watakuwa hawaendi shughuli zake
Vimbwenga vya wasanii ni kiburudisho wa mashabikiWhat is this?!! Don't you young men and women have something better to do!?insteady of westing time on this personal none monetary issues.
Wala sina tatizo naye ila nimemshangaa sana, kana tabia za kidemudemu sana.Matola aliandaa hadi kamati ya kumualika kiba ajiunge JF ili awe in touch na mashabiki zake. Ila leo matola huyuhuyu anamchamba kiba, kweli dunia hadaa😅😅😅