joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwa kama ana jambo lake hao wasanii wengine wasimame mpaka jambo lake liishe.Tunajua mnamtaka kutuondoa kwenye reli kumbukeni November 5 konde boy ana jambo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kama ana jambo lake hao wasanii wengine wasimame mpaka jambo lake liishe.Tunajua mnamtaka kutuondoa kwenye reli kumbukeni November 5 konde boy ana jambo lake
Amedumaa kimziki Hadi madogo kina rayvan na zuchu Wana mpiga gap amebaki kujiita tu king
Siku zote mtu akikudiss ni busara kunyamaza, ukimjibu huyo mtu kwa busara maana yake anakosa power ya kuendeleza maneno, lakini ukireact vibaya, inamaanisha kwamba huyo mtu ana power na control juu yako, na utazidi kuonekana wa ajabu kadri unavyoreact.
Siwezi kusema nani kakosea, kwa sababu sifahamu chochote kuhusu maisha yao, lakini mashindano na watu hayana maana, shindana na nafsi yako tu.
Diamond anafollowers wengi inster kuliko burna boy Nani maarufu kuliko mwenzakeMpinge kwa facts, followers ni moja ya kigezo cha popularity ya mtu husika. Wale followers ni watu na si mbuzi.
Nyimbo zake mbona zinafanya vizuri Sana mtaani Acha chukiKiba karudi nyuma Sana ndio maana sasa hiv nyimbo zake azifanyi vizuri kama zamani
Afu Nuhu mziwanda akamshirikisha kwenye wimbo wa jike shupa.
Umesema ukweliAlly kiba ni mtu wa madharau,isingekuwa baadhi ya watu wanaochukia mafanikio ya Diamond,Ally kiba tungekuwa tumeshamsahau kabsa
Mtaa gani huo we kubali tu kiba kaisha Unaweza kufananisha na kipindi kile Cha aje.kipindi hiki Ngoma zinazosikika Sana ni za Diamond, Rayvann, Harmonize, Zuchu, Nandi,MARIOO na MbossoNyimbo zake mbona zinafanya vizuri Sana mtaani Acha chuki
[emoji23][emoji23]Unaleta mwenyewe wowowo lako, nikikutia madole usiruke fala wewe.
Nakubaliana na wewe uvumilivu una kiwango chake, lakini kurushiana maneno na mwanamke ni kujishushia CV yako tu, kwa sababu wanawake wengi wanachoongea kwenye mabishano hakipitii kichwani kwanza ni wanatapika maneno tu. Lazima tu katika mabishano atakushinda au atapress button siyo. Kama unavyoona akaingiza mpaka ishu za Nasibu. Na mwanamke ukibishana naye lazima uumbuke tu.kiba kama binaadam wengine hawezi kuwa mvumilivu muda wote.
halafu mtu anayeweza kukujaza upepo kizembe kabisa ni yule mnayefahamiana naye vyema.
Kiba kazidiwa Hadi dhambi na madogo wa juzi mkuu.wanampita mafanikio ya kufanyaje!!!!
acheni uduanzi bana,usiforce unachoona wewe kiwe sawa kwa kila mtu.
nyimbo za kwa mparange hizo ndio unaita mafanikio!!!
Neno moja tu la King, "SIJAMUALIKA"Dada yangu una moyo Sana japo asilimia kubwa wakimsagia kunguni alikiba ila wewe umeamua usimame na kiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Neno moja tu la King, "SIJAMUALIKA"
Kibanda cha Voda kimefanya interview karibu medias zote, bado kwenda BBC na Aljzeera tu,
Lol
😂😂😂Hao kina shilole na Ali kiba ndo kina Nani hapa mjini?
Umeandika kana kwamba kila mtu humu anawafahamu