Shilole amchana Alikiba

Shilole amchana Alikiba

Numbers don't lie, acha makasiriko. Ukimjibu kwa solid facts nitakuele(I bet you can) lakini si kukimbilia kwenye mipasho.

Mipasho na makasiriko ni kukuuliza mafanikio gani!!!

Ali anaishi maisha yake tofauti kabisa na wasanii wa hapo wcb,nikikuuliza namba gani unazungumzia hapa utataja youtube na sportfy au huko apple music[emoji1787][emoji1787][emoji1787].yale yale ya shilole na kumzidi kiba followers wa instagram.

Kama namba ni kweli zina sauti namna hiyo huna haja wewe kuzisemea,wacha zijitetee.
 
Hotel za vyakula( migahawa)..Shishi foods. Watu wanadharau biashara ya chakula.. lakin hakuna biashara Ina faida kama ya chakula. Kuna hotel naijua Arusha, chai na vitafunio tu mpaka asubuhi ya saa 5 anakuwa ameishapata faida ya laki 4...sasa niambie huyo dada ana hotel 2
Hiyo itamke kama Restaurant utaeleweka lakini siyo hotel. Ndani ya hotel kunapatikana usingizi, bar na hiyo migahawa ( restaurant)
 
Shilole amesema Ali Kibamia hana hela ya kumzidi yeye. Kitu ambacho ni kweli. Kwa hotel 2 za Shishi..kulaza kila siku Milioni 3 faida, sio ajabu. Hasa ukizingatia kuwa biashara ya chakula ina faida sana. Ali Kibamia hana biashara yoyote ya kumuingizia hizo hela. Mi nashangaa jamaa huwa ana madharau sana lakin hana kitu yoyote. Na hiyo ndo Ina mcost, Wenzake kina diamond na harmonize wapo marekani sasaiv wanapiga show, yeye yupo tu hapa bongo anajibishana na mademu ambao wamemshinda hela. Stupid!

Huu ni ujinga umeandika hapa.

Kiba anawezakuwa kafanya upuuzi kama binaadam mwingine,ila wewe hapa umeandika kwa hasira.
 
Shilole amesema Ali Kibamia hana hela ya kumzidi yeye. Kitu ambacho ni kweli. Kwa hotel 2 za Shishi..kulaza kila siku Milioni 3 faida, sio ajabu. Hasa ukizingatia kuwa biashara ya chakula ina faida sana. Ali Kibamia hana biashara yoyote ya kumuingizia hizo hela. Mi nashangaa jamaa huwa ana madharau sana lakin hana kitu yoyote. Na hiyo ndo Ina mcost, Wenzake kina diamond na harmonize wapo marekani sasaiv wanapiga show, yeye yupo tu hapa bongo anajibishana na mademu ambao wamemshinda hela. Stupid!
Kwa siku 3M faida.....?
Kwa wiki 21M kwa mwezi 84M.
Toa hizo 4M ibaki 80M.
Unaona shilole anafanana na mtu anayeingiza 80M kwa mwezi?
Kwa mgahawa upi?
Umewahi fika hapo mgahawani kwake?
 
Kwa siku 3M faida.....?
Kwa wiki 21M kwa mwezi 84M.
Toa hizo 4M ibaki 80M.
Unaona shilole anafanana na mtu anayeingiza 80M kwa mwezi?
Kwa mgahawa upi?
Umewahi fika hapo mgahawani kwake?

Achana na wajinga hawa[emoji1][emoji1]

Unafikiri aina ya wale vijana wanaojiita chawa wana akili za namna gani!!!!
 
Mipasho na makasiriko ni kukuuliza mafanikio gani!!!

Ali anaishi maisha yake tofauti kabisa na wasanii wa hapo wcb,nikikuuliza namba gani unazungumzia hapa utataja youtube na sportfy au huko apple music[emoji1787][emoji1787][emoji1787].yale yale ya shilole na kumzidi kiba followers wa instagram.

Kama namba ni kweli zina sauti namna hiyo huna haja wewe kuzisemea,wacha zijitetee.
Hakuna anayezitetea numbers, zinajitetea zenyewe.
The goon is full of himself lakini hana chochote zaidi ya stupid pride, hili saga ndiyo limefungua macho wengi ku scrutinize kati ya Shilole na Kiba nani anatengeneza mshiko zaidi ya mwenzie.
Acha waendelee kuchambana hata kama itakuwa ni kwa kutumia puppets kwani ndivyo wanavyozidi kujivua nguo, wamekutana wote watu wa mipasho, mmoja talkative na mwingine wa kuuma na kupuliza.
 
Hakuna anayezitetea numbers, zinajitetea zenyewe.
The goon is full of himself lakini hana chochote zaidi ya stupid pride, hili saga ndiyo limefungua macho wengi ku scrutinize kati ya Shilole na Kiba nani anatengeneza mshiko zaidi ya mwenzie.
Acha waendelee kuchambana hata kama itakuwa ni kwa kutumia puppets kwani ndivyo wanavyozidi kujivua nguo, wamekutana wote watu wa mipasho, mmoja talkative na mwingine wa kuuma na kupuliza.

hana lolote ndio,hayo ya pesa wanajua wao maana hakuna hata mmoja aliwahi sema hadharani anaingiza shingapi kwa siku au sekunde.
 
Hakuna anayezitetea numbers, zinajitetea zenyewe.
The goon is full of himself lakini hana chochote zaidi ya stupid pride, hili saga ndiyo limefungua macho wengi ku scrutinize kati ya Shilole na Kiba nani anatengeneza mshiko zaidi ya mwenzie.
Acha waendelee kuchambana hata kama itakuwa ni kwa kutumia puppets kwani ndivyo wanavyozidi kujivua nguo, wamekutana wote watu wa mipasho, mmoja talkative na mwingine wa kuuma na kupuliza.
Kiba hawezi kushushwa na wapuuzi Kama wewe!
 
Ali ni very poor kwenye kujenga/kuwasilisha hoja...si muongeaji mzuri...ilibidi apate ushauri wa namna ya kuwasilisha hoja yake hata kama ilikuwa ni kujibu mashambulizi...au la basi angenyamaza tu na wala asingepoteza kitu.
kwani kapoteza nini?
 
Kiba hawezi kushushwa na wapuuzi Kama wewe!
You're very stupid, nimshushe niko kwenye music industry au haya mambo mepesi yanayoandikwa humu unayachukulia personal.
Kama kuna unachofaidika financially fight hard but this is the wrong place, mpambanie kunakoingiza pesa kama streamings za digital platforms.
Hizi arguments za humu haziwezi kumnufausha yoyote kiuchumi au kumporomosha yoyote kiuchumi so grow up goon.
 
Sasa alikiba ashushwe Mara ngapi wakati kashajifia na nafasi yake kachukua kondeboy
The stupid punk is still in total darkness, mfungue macho.
Wako busy wanachambana na Shilole.
 
Mtafuta kiki Vs Mzee wa Kujidai. Kuna mtu anatafuta kiki ili apande chati, naam hapa upele unakunwa na ganda la fenesi.
 
Huu ni ujinga umeandika hapa.

Kiba anawezakuwa kafanya upuuzi kama binaadam mwingine,ila wewe hapa umeandika kwa hasira.
Kipi hapo? Ukweli unakuwa hasira? Na nyinyi mashabiki wake ndo mnampoteza, maana kila analofanya ni sawa
 
Shilole amesema Ali Kibamia hana hela ya kumzidi yeye. Kitu ambacho ni kweli. Kwa hotel 2 za Shishi..kulaza kila siku Milioni 3 faida, sio ajabu. Hasa ukizingatia kuwa biashara ya chakula ina faida sana. Ali Kibamia hana biashara yoyote ya kumuingizia hizo hela. Mi nashangaa jamaa huwa ana madharau sana lakin hana kitu yoyote. Na hiyo ndo Ina mcost, Wenzake kina diamond na harmonize wapo marekani sasaiv wanapiga show, yeye yupo tu hapa bongo anajibishana na mademu ambao wamemshinda hela. Stupid!
Shilole ana hotel!!! Ile ni migahawa wewe,[emoji23]

Eti Kiba hana biashara yoyote hahahaa tatizo mnatamani aweke maisha yake wazi na hafanyi hivyo ng'oooo, mlitangaza kaachana na mkewe matokeo yake kawaletea baby number 2 na Bi Amina,

Privacy ya Kiba inawaumiza mnooooo, na badoooooo hadi muwehuke.
 
Shilole ana hotel!!! Ile ni migahawa wewe,[emoji23]

Eti Kiba hana biashara yoyote hahahaa tatizo mnatamani aweke maisha yake wazi na hafanyi hivyo ng'oooo, mlitangaza kaachana na mkewe matokeo yake kawaletea baby number 2 na Bi Amina,

Privacy ya Kiba inawaumiza mnooooo, na badoooooo hadi muwehuke.
Biashara gani anayo unayoijua wewe!! Yaani unaweza kuwa na jina halaf uwe a biashara halaf ufiche?;Sasa utapataje wateja? Umewahi kuona wapi? Akili za kiutopolo 🚮🚮🚮
 
Kipi hapo? Ukweli unakuwa hasira? Na nyinyi mashabiki wake ndo mnampoteza, maana kila analofanya ni sawa

binadamu hawezi kuwa sawa,atakuwa hajatimia.

wewe huwezi kuwa unaongea ukweli kwa kusema anaachwa na wasanii wachanga.unajidanganya ili uupe nafuu moyo wako.
 
Biashara gani anayo unayoijua wewe!! Yaani unaweza kuwa na jina halaf uwe a biashara halaf ufiche?;Sasa utapataje wateja? Umewahi kuona wapi? Akili za kiutopolo [emoji706][emoji706][emoji706]

mkiitwa mbuzi mnatokwa povu.

sio kiba huyu anayepigiwa kelele kwa kuwa msiri msiri humu!!!
 
Back
Top Bottom