Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Hakuna mwanamke mwenye mkono mwepesi wa kurusha makofi kama shishi bby.
 
Jina la kiume vitendo vya kike( kama ni kweli) alafu huyu demu inawezekana huwa anawabandua hawa watoto atakuwa anawaingiza midoli sio bure...........mwanaume anayemfaa huyu ni yule wa kumzibua choo na vitasa heavy
 
Muulizeni Nuh Mziwanda kwa nini aliimba JIKE SHUPA
 
Inabd jamaa aende akafungue jalada kwenye meza ya jinsia kushitaki tabia iliyokomaa ya kudhalilishwa kijinsia ili iwe funzo kwa shishi bubu
 
Kumbe kweli huwa anawachapa ?jike shupa hahahaa kale kajama kale ka nuhu mziwanda nakenyewe kamekimbia vichapo ..
 
Sasa hivi huko alipo kile kibwana chake cha zamani Nuh Mziwanda kinafurahi tuu kinaona kumbe pia yy alikua haonewi ilikua ni haki yake kula mbata

Huyu demu inaonekana hata bed anawakontroo sn hawa maben 10 wake ukute kwny game hadi afike kilele keshaumizwa sn
 
Mkuu ulitaka amfokee na kumnasa vibao chumbani ili isiwe uzalilishaji?
Mwanaume yeyote anaefokewa, kutukanwa, kunaswa vibao iwe mbele ya kadamnasi au chumbani hajakamilika, hana vigezo/sifa ya kuitwa mwanaume.
Huyu dem hajakutana na Mwanaume, hivi anavyovichapa makofi ni haki yake ndio maana huchagua viserengeti anavyoviweza kuanzia nguvu, akili na kipato ili viwe dhaifu mbele take.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…