Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Hakuna mwanamke mwenye mkono mwepesi wa kurusha makofi kama shishi bby.
 
Jina la kiume vitendo vya kike( kama ni kweli) alafu huyu demu inawezekana huwa anawabandua hawa watoto atakuwa anawaingiza midoli sio bure...........mwanaume anayemfaa huyu ni yule wa kumzibua choo na vitasa heavy
 
Inabd jamaa aende akafungue jalada kwenye meza ya jinsia kushitaki tabia iliyokomaa ya kudhalilishwa kijinsia ili iwe funzo kwa shishi bubu
 
Kumbe kweli huwa anawachapa ?jike shupa hahahaa kale kajama kale ka nuhu mziwanda nakenyewe kamekimbia vichapo ..
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Yule msanii wa kizaz kipya shilole aka zuwena shishiii beibii kutoka igunga anadaiwa kumchapa makof mpenz wake uchebe mbele za watu


Shilole alianza kwa kumufokea mbele za watu huku akimsonta, uchebe wakat huo alikuwa kaweka mikono nyuma huku akitetemeka na akiomba msamaha kwa kosa lisilojulikana lakin shishi beibi hakuelewa hilo akamsogelea na kumzaba makofi mengi mengi moja la shavu na mengine ya kichwan na kifuan


Watu walioshudia tukio hilo walisema shilole kafanya uzalilishaji wa hali wa juu sana huwez kumfokea na kumpiga mpenz wako mbele za watu


KAZI KWENU MARIO

chanzo global


LONDON BABY
Sasa hivi huko alipo kile kibwana chake cha zamani Nuh Mziwanda kinafurahi tuu kinaona kumbe pia yy alikua haonewi ilikua ni haki yake kula mbata

Huyu demu inaonekana hata bed anawakontroo sn hawa maben 10 wake ukute kwny game hadi afike kilele keshaumizwa sn
 
Mkuu ulitaka amfokee na kumnasa vibao chumbani ili isiwe uzalilishaji?
Mwanaume yeyote anaefokewa, kutukanwa, kunaswa vibao iwe mbele ya kadamnasi au chumbani hajakamilika, hana vigezo/sifa ya kuitwa mwanaume.
Huyu dem hajakutana na Mwanaume, hivi anavyovichapa makofi ni haki yake ndio maana huchagua viserengeti anavyoviweza kuanzia nguvu, akili na kipato ili viwe dhaifu mbele take.
 
Back
Top Bottom