Nimemanishaa hilo jina uchebe linawakilisha vishababi mkuuJina kubwa kalitoa wapi huyo
HahahaAahahahaha kwa kipigo hiki lazma mgawane majengo ya serikali
Duuuhhh ??? Ndizo shukuran za kutunzwa na mwanamke ,,lazima uwe zwazwa .Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Yule msanii wa kizaz kipya shilole aka zuwena shishiii beibii kutoka igunga anadaiwa kumchapa makof mpenz wake uchebe mbele za watu
Shilole alianza kwa kumufokea mbele za watu huku akimsonta, uchebe wakat huo alikuwa kaweka mikono nyuma huku akitetemeka na akiomba msamaha kwa kosa lisilojulikana lakin shishi beibi hakuelewa hilo akamsogelea na kumzaba makofi mengi mengi moja la shavu na mengine ya kichwan na kifuan
Watu walioshudia tukio hilo walisema shilole kafanya uzalilishaji wa hali wa juu sana huwez kumfokea na kumpiga mpenz wako mbele za watu
KAZI KWENU MARIO
chanzo global
LONDON BABY
Haki za kijinsia zinazungumza kwa ujumla kwahiyo mwanaume ana haki zake akiendaKwan huwa kuna haki za wanaume
Nasikia mwamba uchebe ameshakichafua😀😫😀😫Hahahahah huyu shilole nae dah...this is too much! Akija kwangu hio siku anarusha kofi nitamfanya hakuna mbona. Ntampiga kama ME mwenzangu maana hana adabu. Combination ya nakoz na ndoo yani lazma nimvujishe michuzzzz ili shilawadu waongee vizuri
Nasikia mwamba uchebe ameshakichafua[emoji3][emoji31][emoji3][emoji31]
Wajinga wajinga bila kipigo huwa hawaelewi.Vibaya mno