Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Hahaha... ati amfumue tu... kama hana uwezo wa kumfumua tuu... kheri awahi kushtaki...

Si unajua wanawake mnavyolindwa na sheria sana...


Yes love amfumue tu mwanaume ni mwanaume ujue! Akienda kushtaki mwanaume mzima nomaa



Cc Smart911
 
Duuuhhh ??? Ndizo shukuran za kutunzwa na mwanamke ,,lazima uwe zwazwa .

ila hata km ,,,, jamàa nako katakua nikasenge tuuu...kupigwa nadem ????? Kwann usimkunje ???
 
Hahahahah huyu shilole nae dah...this is too much! Akija kwangu hio siku anarusha kofi nitamfanya hakuna mbona. Ntampiga kama ME mwenzangu maana hana adabu. Combination ya nakoz na ndoo yani lazma nimvujishe michuzzzz ili shilawadu waongee vizuri
Nasikia mwamba uchebe ameshakichafua😀😫😀😫
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona uchebe alienda gym ili alipe kisasi, uwiiiiiiiiiiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…