Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Inabd jamaa aende akafungue jalada kwenye meza ya jinsia kushitaki tabia iliyokomaa ya kudhalilishwa kijinsia ili iwe funzo kwa shishi bubu
Kwan huwa kuna haki za wanaume
 
Alaf huyu jamaa ni ostaz wa dar yaan wanaume wa dar mnatuabiasha sana
 
Kumbe uchebe kapigwa hahahaha mwambieni aje anikodi Mimi nikamfanyie kazi maana sisi huku kwetu nyamongo hatujuagi kuomba msamaha.
 
Wanaosema mwanamke usipomchapa makofi mara moja mje huku. Pwngine mwanaume asipochapwa kidogo hatulii
 
Azoeee tu maana NuHU alikuwa anapigwa hadi bakora
 
Aisee huyu shilole atakuwa na tatizo kichwanii na ataishia hivyo vibe 10 tu
 
Back
Top Bottom