Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Sio kama uchebe anashindwa kumpiga shilole.anaogopa kupewa kifuko chake cha shangazi kaja.na kutimuliwa
 
Huo ndiyo ..UJIRA WA BEN 10 huo ukishaanza KUCHOKWA...hiyo ipo PROVED 100% kwa kupitia mifano ya X BOYS wake waliopita.....wakianza kupigwa makofi na SHISHI BABBY... break up....is too close..
 
Wanaume halisi tumebaki wachache sana,huyu fundi gereji atapigwa sana tu
 
Tabia hujenga mazoea, Shilole sio wa kuaminiwa kama Ruiz Suarez yule mchezaji wa Barca.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Yule msanii wa kizaz kipya shilole aka zuwena shishiii beibii kutoka igunga anadaiwa kumchapa makof mpenz wake uchebe mbele za watu


Shilole alianza kwa kumufokea mbele za watu huku akimsonta, uchebe wakat huo alikuwa kaweka mikono nyuma huku akitetemeka na akiomba msamaha kwa kosa lisilojulikana lakin shishi beibi hakuelewa hilo akamsogelea na kumzaba makofi mengi mengi moja la shavu na mengine ya kichwan na kifuan


Watu walioshudia tukio hilo walisema shilole kafanya uzalilishaji wa hali wa juu sana huwez kumfokea na kumpiga mpenz wako mbele za watu


KAZI KWENU MARIO

chanzo global


LONDON BABY
shilole yuko netherland unazungumzia habari ya mwaka gani?

Screenshot_2017-09-30-21-54-39.png
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Huyu dada hua anawapaga nn mpaka wanaume zake wanakua kenge maji hviiii?????
 
Nikiwa na mwanamke design ya shilole (kitabia) basi najua kabisa jela inaninyemelea, cha kufanya namuacha haraka sana.

Hivi mwanamke anaanzaje labda? Achana na kunipiga kibao yeye anisonywe tu au aniite jina la kijinga au aseme "we fala" hilo tu linatosha kumfanya asile nyama mpaka anaondoka duniani.

Unadhani atawezaje kula nyama ilihali hana meno?
Ana bahati hayuko namimi, pia hata ningeweza kumpata bado tusingedumu hata siku mbili.
 
Wanaume halisi tumebaki wachache sana,huyu fundi gereji atapigwa sana tu
Kimsingi huyo jamaa anastahili kupigwa tu, mwanaume anaachaje familia yake kwa sababu ya shilole?
Unajua kuna watu kama wamerogwa vile, yaani Single mother anifanye niitelekeze familia yangu?
Hata kama sio single mother aisee
Kuna mambo unatakiwa kujiwekea mkataba mbele ya Mungu
 
Hahahahah huyu shilole nae dah...this is too much! Akija kwangu hio siku anarusha kofi nitamfanya hakuna mbona. Ntampiga kama ME mwenzangu maana hana adabu. Combination ya nakoz na ndoo yani lazma nimvujishe michuzzzz ili shilawadu waongee vizuri
Ukiolewa huwezi kuwa na sauti ,ukitaka kujua hayo angalia nyumba zinazoonekana Mwanamke kuwa na nguvu kiuchumi utaelewa.

Mwanaume unakaa na mwanamke hana kipato miaka ila sio mwanaume ukose kipato ni shida.
 
Back
Top Bottom