Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Hahaha aise
Ila ukipata shukuru

Ova
Hakuna mwanamke anampenda mwanaume asie na pesa , Hakuna mkuu. Mwanaume unaweza mpenda mwanamke na familia Yao nzima ni masikini lakini mwanamke hawezi kumpenda mwaume wa hivyo.


Na Kama ikitokea lazima Huyo mwaume ajiandae siku yoyote bomu litalipuka. Tumeyaona na nina Imani kwa umri wako umeyaona.
 
Hiyo ndo inaitwa mbwa kala mbwa...

We nenda kadange uniumize roho, nami nakuibukia usiku nakuumiza sura

Malipo ni hapahapa Duniani....

Mwisho wa siku kidumw kimeibuka na ushindi, Shilole kaomba poo
Uchebe mtata sana..
Yani anamtandika mwenzie akiwa kalala fofofo..halafu za uso.
 
We Uchebe hujui kwamba Neno la MUNGU linatutaka wanaume tuishi na wanawake kwa akili??. Unataka kuumuua mtia nia ya kugombea ubunge wa jimbo la IGUNGA
Hahahaa bado hajapewa ujumbe wa kamati kuu?maana ukishakuwa maarufu inzi wa kijani wanakuchukua!
 
Hao wakina Mo hatukuwaona kipindi Shishi anamtwanga Nuh Mziwanda na akawa anajitapa mitandaoni na clip zake zipo ingia kwa Millard Ayo uone. Huyo nuh Yuko tu kijitonyama ana stress za pombe kwasababu ya Huyo Shishi.


Sitetei mtu Kupigwa ila muwe mna balance mambo sio mwanaume anapigwa mnakula buyu ila Huyo Malaya akipigwa mnabinua midomo.
 
Kumekucha kumekucha mi nahisi shilole ndo anakosa, sasa kama kuna mdau hapo anasema shilole huwa analipiwa tiketi ya ndege anaenda mkoani kuna mchizi. Huko huwa anamtivua tope sijui ni ukweli maana wabongo sisi da πŸ™Œ
Yalimo Yamo!!!
Unaweza Kuona Watu Wameyapatia Kumbe.
Story Za Hawa Mnawaita Stars
Ndiyo Wanagongwa Tu Wakitafuta Maisha Nafuu
 
Sitetei kwa alicho kifanya Uchebe,Ila wanawake na hao wanaharakati vigeugeu,wakati dogo Nuhu Mziwanda alivyokuwa akitembezewa vitasa na Shilole mlimuona Shilole shujaa (SUPER WOMAN ) na Shilole alikuwa akijitapa mpaka kwenye Media.

Leo kakutana na mwenzake ngumi mkononi kabutuliwa mnadai ananyanyaswa.Hapo ndio utajua mwanamke anaye mpiga mwanaume mbele ya jamii huonekana SHUJAA na mwanaume anayempiga mwanamke mbele ya jamii honekana MNYANYASAJI.
 
Huwa nachukia sana nikiona mwanaume mwenzangu anapiga mwanamke. Hivi tunashindwa kuishi nao kwa akili?
Braza ayo maneno yaseme ukiwa pekeako... labda ushukuru unakutana na madem wa kawaida.... ila km kweli ww ni baharia lazima ushakutana na relationship kichef chef kweli kweli... solution yake huwa ndo hiyo tu..

Naeza kupa scenario inayopelekea umshushie kipigo.

Unaeza pata mtoto mzur umemuelewa(umeona maslahi yapo) af km kidume ukasema ishu ya tabia utamuweka sawa, siku zinakatika na yeye km kawaida anaonesha kakolea.... anapokuja kugundua we ni mstaarabu anaanza kuonesha hulka/vitabia vyake(vya ajab ajab ambavyo we huendani navyo) ss we ushakolea(una maslahi nae) na kukomaa kwamba atajirekebisha... pale ndo mambo yanabadilika... maana utashindwa kuvumilia.... na kabla hujakata shaur la kuachana nae lazma utakua umepambana nae sana kwa kumpa kichapo... tho kuna wengine huwa wanatulia na kuwa na tahadhar kwa kichapo(hasa akiona ana maslahi/kakuelewa).......
 
Yani nguvu zte unamtime dem kalala ndo unampga kwl
 
Kwan unafikiri uchebe ni mariooo kwa shilole
Sema wanawake Wana maaudhi sana, ila siungi mkono kuwapiga ila wanakera sana na hawakumbukagi jema

Ova
Uvumilivu jamani..hakuna binadamu aliyemkamilifu..unaona uvumilivu unakishinda tafuta njia nyingine ya kumyoosha pasipo madhara...nakupa hongera kwa kutounga mkono hoja.
 
Excuses excuses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…