Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

kamfundisha somo kwamba siku nyingine awe makini
 
Anaenda kukutafutia na mabwana wengine unanunaπŸ˜‚πŸ˜‚ na kurusha ngumu
 
Mwanaume anahitaji heshima, ruka ruka weee ila heshima iwepo, the moment uta cross hiyo line yatakukuta tu, and that is nature, we nenda against nature alafu uje na ngonjera bla bla bla.. Heshimuni waume zenu punguzen midomo mtaishi kwa amani kama mkodisha dunia vile
 
Wanawake bana... Mbona aliyempiga anaonekana mdogo kuliko yeye?
Wacha kucheza na mtu wa karate wewe.Na mwili wako mkubwa hutaambulia ngumi hata moja.Akikupa japo ya mbavu unabaki unamwangalia tu huku ukitema udenda.Hapo unakuwa ushagive up akupe kichapo tu ila uhai asikutoe.
 
Hahah cheki watetea haki za wanawake sijui dawati la jinsia mara wakina Joyce Kiria watakavyomshukia Ustaadhi Uchebe kwa kasi ya mwewe.
Ila kile kipigo cha mbwa mwizi ni balaa..
lazima kuna kitu nyuma ya pazia shilole amefanya mpaka jamaa akaamua kumtoa kisusio
 
πŸ‘ˆπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Naona aongeze dozi.iyo dozi ndogo ad kapata nguvu ya kuandika essay yte iyo
 
Hii Bongo movie tu,utashangaa wamerudiana tu.........simtetei Uchebe ila watu wamesikiliza upande mmoja na kuhukumu,tusubilie Uchebe naye aje aseme nini kilitokea.....mnamuonea huruma shishi baadaye mnaweza kumgeuka, Uchebe akisema ya moyoni
Hahahaaaa........ Kumpiga haikuwa suluhisho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…